Matapeli wa mtandaoni

Matapeli wa mtandaoni

Bi mkubwa wangu ana umri wa miaka kama 53 hivi ila zikiingia sms za matapeli anajua kabsa huyo ni tapeli na hata wakipiga simu anatambua na simu yake haikosi pesa mara Kwa mara

Wewe kijana mdogo hao wakutapeli si utakuwa na pesa za kuchezea

Ongeza umakini ikiwezekana umuibie yeye anayetaka kukuibia
Wengi wanaibiwa kwa tamaa zao
 
Back
Top Bottom