Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Mkopo kuulipa sasa si unasubiri niweke hela?Sasa Mkopo si umepewa? Umeulipa?.
Okay sawa Mkuu nimekuelewaMkopo kuulipa sasa si unasubiri niweke hela?
Sasa kesho mtu amesema atanitumia hel.
🤣🤣🤣🤣🙌🏿Sasa Mkopo si umepewa? Umeulipa?.
Hapo ulipojiegesha geton siyo mkoa?🤣🤣elimu elimu elimuVijana wa mikoani mnapigwa sana katika jiji kubwa hili.
Hahahaha yule Mwamba amekuwa adimu sanaUaandishi kama wa Pdidy
Yupo ukimsearch bado yupo na juzijuzi kaanizisha Uzi humuHahahaha yule Mwamba amekuwa adimu sana