Matapeli wa TV Zanzibar

Matapeli wa TV Zanzibar

Hao Maimuna sasa

Screenshot_2021-04-28-08-15-19-36.jpg
 
Zanzibar wanatumia sana tigo na zantel mkuu

Ok ila kwa mimi ningestuka mzenji mwenye biashara kubwa kunipa namba ya tigo/airtel au kwa huku bara dalali mnyamwezi anipe namba ya zantel hapo lazima kuna dalili ya upigaji.
 
Hao ilikuwa wanipige ila nikawatait kwa maswali akaishia kufyum! Namwambia tuma TV ifike ndio nikurushie hela hataki
 
0686056829, 0713645955

News alert. Hizo namba juu nimeziweka ili TRA iwashughurikie. Wanamtandao wanajifanya wanauza TV huko Zanzibar. Binafsi nilishapigwa hela naomba mwingine yasimkute. Wanafollowers wengi Instagram kujifanya wauzaji TV kumbe ni matapeli. Kwenye Instagram anajiita MAIMUNA electronics.
20210428_084122.jpg

Mwingine huyu hapa..!! Hilo duka Chakechake halipo kabisa, ni muhuni yuko mtaani anapiga watu pesa, ukimtumia pesa hapokei simu yako tena.!
 
Unapostiwa TV ya million na nusu kwa laki 5 na sms nyingi za ushuhuda
 
Nimeona ktk page yao kuna mtu kawa fokea kawaambia ni matapeli
 
Mods badilisheni jina la huu uzi, tuuite MATAPELI WA MITANDAONI, Tutatumia huu kupost page zote zenye walakini.

Kuanzia Instagram, Facebook na hata jamiiforums posts zenye utata wa biashara.
 
Kifupi mkuu umetapeliwa kizembe sana. Tamaa mbaya.
 
Mimi kidogo niingie chaka kupatana.com
Yaan tv inch 50 kwa laki nne? Tena lg?..nikaona apa miyeyusho nikasema ngoja nikachukue tu k/koo niongezee hela kidogo
 
We uliskia wapi TV ya inch 50 inauzwa laki 2 na nusu 😁😁😁!!!
Najua ndicho kuvutia
Niliwahi kumshtukia mmoja huko huko Zanzibar alikuwa anauza kiatu cha ngozi lebo ya Clark kwa 25,000.00,wakati kiatu kama kile kwa Dar ilikuwa 90,000.00,machale yakanicheza...
 
Niliwahi kumshtukia mmoja huko huko Zanzibar alikuwa anauza kiatu cha ngozi lebo ya Clark kwa 25,000.00,wakati kiatu kama kile kwa Dar ilikuwa 90,000.00,machale yakanicheza...
Wahuni wale maboya Pro Max tamaa ikikuzidi akili tu umepigwa
 
Usikute hata hawapo zenji,ushawahi kuona mzenji anatumia airtel au tigo? Hao watakuwa machogo/wanyamwezi wanaojiita wazenji kuhalalisha/kukuaminisha wapo zanzibar.
Na huo ndio ukweli. Wanajiita wazenji au wanasema ofisi zao zipo Zenji, ila wahuni tu wapo Makumbusho au kariakoo na visimu vyao.

Kuna mmoja nilipenda products zake, nikaamua kuwafata hadi wanaposema duka lipo. Kufika kule hola, hakuna cha duka wala nini. Pia hawapokei simu.
 
Back
Top Bottom