cemalema
Member
- Feb 22, 2013
- 49
- 18
Ni taarifa kwa wanfanya biashara za Tigo Pesa, M-Pesa na Airtel Money kuwa kuna vijana wanaotengeza mifumo ya wizi kwa mfano wanakuja kutoa pesa katika simu ya wakala inaingia sms yakuonyesaha kama amefanya muamala na kumtumia ujumbe wakala na kwake yeye kama amepokea sms ya kuonyesha floti imeongezeka ila akitizama kwa njia ya kawaida ktk sim ya wakala hakuna floti ilioongezeka wala kupungua na hizo sms zinakuja kama kweli ila ukitizama sms senta namba ni tofauti kabisaa na wanapendelea kutoa pesa kuanzia lakisaba au laki tano au hata milioni Mkoa wa Rukwa wametapeliwa sanaa na Mpanda