Matapeli wanaotumia jina la yesu

Matapeli wanaotumia jina la yesu

BA-MUSHKA

Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
66
Reaction score
2
Kuna matapeli ambao wanajifanya wahubiri wa Neno la Mungu wapo jijini Dar es Salaam. Jamaa hao wanne wanaoishi Mbagala Rangi 3, wanaongozwa na Anton Abel Magoya ambaye anafahamika kuwa ni muhubiri katika makanisa kadhaa ya Dsm, pia alisoma chuo cha IFM. Jamaa wakikutana na wewe wanajifanya kuzungumza kuhusu masuala ya Mungu, ukionyesha dalili za kuwasikiliza wanakufuata kokote unakoishi hata ikibidi kuja sehemu unayosali. Wakati wa usiku watakutumia message na mistari ya Biblia ya kusoma na jambo la kuombea siku hiyo. Taratibu utajikuta mikononi mwao.

Jamaa mmoja na mchungaji wake wameshatapeliwa mamilioni ya shilingi baada ya jamaa hao kuahidi kusaidia kununua vifaa mbalimbali vya kanisa vikiwemo vyombo vya muziki. baada ya kugundulika kuwa ni matapeli wametoweka ingawa simu zao zinaita lakini hazipokelewi.

Binti mmoja ambaye nae ametapeliwa na jamaa hao, anasema kwasababu alikuwa anamfahamu kiongozi wa kundi hilo kuwa ni mtumishi wa Mungu hakuwa na wasiwasi wowote juu yake. siku moja jamaa alimwomba amwazime laptop yake, lakini ilichukuliwa na haikurudishwa hadi leo. Dada huyo amenipa picha ya jamaa huyo na namba yake ya simu.

Wote waliotapeliwa wameshatoa taarifa polisi na upelelezi unaendelea.
 
asante umetusaidia best yaani mpaka inafikia hatua hiyo kweili hao matapeli ipo siku Mungu atafichua uovu wao wazi hadharani
Kuna matapeli ambao wanajifanya wahubiri wa Neno la Mungu wapo jijini Dar es Salaam. Jamaa hao wanne wanaoishi Mbagala Rangi 3, wanaongozwa na Anton Abel Magoya ambaye anafahamika kuwa ni muhubiri katika makanisa kadhaa ya Dsm, pia alisoma chuo cha IFM. Jamaa wakikutana na wewe wanajifanya kuzungumza kuhusu masuala ya Mungu, ukionyesha dalili za kuwasikiliza wanakufuata kokote unakoishi hata ikibidi kuja sehemu unayosali. Wakati wa usiku watakutumia message na mistari ya Biblia ya kusoma na jambo la kuombea siku hiyo. Taratibu utajikuta mikononi mwao.

Jamaa mmoja na mchungaji wake wameshatapeliwa mamilioni ya shilingi baada ya jamaa hao kuahidi kusaidia kununua vifaa mbalimbali vya kanisa vikiwemo vyombo vya muziki. baada ya kugundulika kuwa ni matapeli wametoweka ingawa simu zao zinaita lakini hazipokelewi.

Binti mmoja ambaye nae ametapeliwa na jamaa hao, anasema kwasababu alikuwa anamfahamu kiongozi wa kundi hilo kuwa ni mtumishi wa Mungu hakuwa na wasiwasi wowote juu yake. siku moja jamaa alimwomba amwazime laptop yake, lakini ilichukuliwa na haikurudishwa hadi leo. Dada huyo amenipa picha ya jamaa huyo na namba yake ya simu.

Wote waliotapeliwa wameshatoa taarifa polisi na upelelezi unaendelea.
 
kama unachosema ni kweli, unaweza kureport hii issue polisi. tena kama hata simu zao zinapatikana, kitengo cha polisi cha cyber kitawakamata muda si mrefu. kama ni kitu cha kweli lakini, kwasababu kuna watu wengine wanaweza kuandika hata jina la mtu kumbe labda hawavutiwi na imani zao, sasa wanataka kuwaharibia tu....ila simaanishi kama wewe uko hivyo, kama ni kweli watu hao wanafanya hayo, peleka polisi hilo jambo,wakamatwe kwanza wanaaibisha ukristo.
 
Back
Top Bottom