Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na maanisha anatumia jina gani hapa jamiiforum?0789242824 amenifata inbox kwa sms za kawaida na kunipigia
Pesa za mtaj??
Kumbe hujatapeliwa kupitia jamiiforum?Jamii forum sijui jina analotumia ,,,ila Facebook alienitapel anatumia jina la ramsek na biashara
Aisee pole sana. Wakati mwingine usikubali kufanya biashara na mtu usiye mfahamu, na pia asiye na rekodi ya uaminifu. Hapo kubali tu umepigwa.Nimetapeliwa laki 1 ,nilitoa tangazo nahitaji maharage ya njano , mwenye namba hii 0789242824 ajanitumia meseji inbox akanambia anamjua anayeuza maharage ya njano yupo kyela ,mbeya na akanipa namba yake ,akanambia ni muaminifu na niwe na amani ntapata maharage ya njano, akanitumia namba za anayueza maharage 0659158964
Nikawasiliana na anayeuza maharage (0659158964) Kwa njia ya meseji (sms) ,akanambia anauza maharage ya njano kilo 2000 ,nikamwambia nataka kilo 50 ,nikamtumia laki moja kwenye namba yake , baada kumtumia akanambia maharage yatafika kesho ,kesho ikafika akanambia mzigo wanashusha Moro , kesho yake Tena namtafututa na kumpigia simu hapokei inaita tu na Wala meseji hajibu mpaka sasa hajibu sms Wala nikimpigia hapokei
Facebook anatumia jina la ramsek na biashara
Namba anayotumia ni 0659158964
Kanitapeli pesa yangu ya mtaji wa biashara
Pole sana ndugu yangu hapo ni ngumu kumjua hapa jamii forum.Nilitoa tangazo la kuhitaji maharage ya njano jamii forum na nikaweka namba yangu
Tuseme umetapeliwa FacebookJamii forum sijui jina analotumia ,,,ila Facebook alienitapel anatumia jina la ramsek na biashara
Umeshauri vema sana kiongozi. Wengine wanamshambulia vikali sana. Nadhani yatupasa tuelelewe kuwa kwenye mitandao biashara zinafanyika Kwa uaminifu zaidi zaidi. Ilitokea mtu ametapeliwa ni utapeli kama utapeli mwingine.. siyo dhambi kufanya biashara Kwa Imani na Kwa uaminifu.Unapigwa vipi wakati mtu kaweka namba yake ya simu,nenda Police waeleze kama ulivyoelezea humu,watakusaidia tu sababu namba ya simu ni sawa na Kitambulisho.
Pole sanaNimetapeliwa laki 1 ,nilitoa tangazo nahitaji maharage ya njano , mwenye namba hii 0789242824 ajanitumia meseji inbox akanambia anamjua anayeuza maharage ya njano yupo kyela ,mbeya na akanipa namba yake ,akanambia ni muaminifu na niwe na amani ntapata maharage ya njano, akanitumia namba za anayueza maharage 0659158964
Nikawasiliana na anayeuza maharage (0659158964) Kwa njia ya meseji (sms) ,akanambia anauza maharage ya njano kilo 2000 ,nikamwambia nataka kilo 50 ,nikamtumia laki moja kwenye namba yake , baada kumtumia akanambia maharage yatafika kesho ,kesho ikafika akanambia mzigo wanashusha Moro , kesho yake Tena namtafututa na kumpigia simu hapokei inaita tu na Wala meseji hajibu mpaka sasa hajibu sms Wala nikimpigia hapokei
Facebook anatumia jina la ramsek na biashara
Namba anayotumia ni 0659158964
Kanitapeli pesa yangu ya mtaji wa biashara
View attachment 2835835View attachment 2835837View attachment 2835842
Aisee poleni, mwaka jana nilitaka kuingia mkenge kwa kutuma pesa ya magunia 2 ya mchele morogoro,Mama hapa alitapeliwa 260,000 kidogo afe
Maharage kyela ndio kupigwa kwenyewe huko hata hajashtukaMaharage Kyela? Labda ingekuwa Mchele!