Kabla ya kuacha ulipima?kuna option tatu,
1. acha kabisa (kama mimi)
2. kuwa na mpenzi mmoja
3. Tumia kondom
chagua inayokufaa kati ya hizo
Hivi haijapatikana kumbe? Imekula kwangu, ole wangu!Asante sana FD kwani kuna watu wamenza Ngono zembe wakidhani dawa imepetikana??
namba 3 ndio imekaa vizuri hiyo namba 2 bora ingefutwa maana mtu unaweza ukaamini una mmoja kumbe mwenzio anatoka nje maana binadamu achungiki na huwezi kuisemea nafsi ya mwenziokuna option tatu,
1. acha kabisa (kama mimi)
2. kuwa na mpenzi mmoja
3. Tumia kondom
chagua inayokufaa kati ya hizo
Yeah! Kama mimi waifu anaamini yuko peke yake. Laiti angejua namtafunia rafiki yake tena wanafanya kazi ofisi moja....... Hapo sijaweka kina Elizaz kadhaa.......namba 3 ndio imekaa vizuri hiyo namba 2 bora ingefutwa maana mtu unaweza ukaamini una mmoja kumbe mwenzio anatoka nje maana binadamu achungiki na huwezi kuisemea nafsi ya mwenzio
Wewe umeacha?Asante Funzadume kwa kutukumbusha. Ubarikiwe
kuna option tatu,
1. acha kabisa (kama mimi)
2. kuwa na mpenzi mmoja (Kama mimi):A S 100:
3. Tumia kondom
chagua inayokufaa kati ya hizo
Kabla ya kuacha ulipima?
Uliwaacha wangapi?
Kwanini uliacha?
Unamalizaje hamu yako ya kibaiolojia?
Danganya toto dogo kula kande mbichi!
Hakuna mwaminifu wote wanabanjua kwakificho kikubwa kuliko hata nyoka na paka wanavyokuwa wanavunja hiyo amri.Wakubaki nivichaa!!La sivyo wale waaminifu tu ndio watakaobaki Duniani.
kuna option tatu,
1. acha kabisa (kama mimi)
2. kuwa na mpenzi mmoja
3. Tumia kondom
chagua inayokufaa kati ya hizo
Asante Funzadume kwa kutukumbusha. Ubarikiwe
Asante Funzadume kwa kutukumbusha. Ubarikiwe