Matarajio ya Dawa ya Ukimwi: Ujumbe kwa wana JF

Matarajio ya Dawa ya Ukimwi: Ujumbe kwa wana JF

Mmmh!!! ZD wamekingiwa na nani? mbona me nimeshuhudia mapadre kadhaa wamekufa kwa ngoma? nafikiri waliokingiwa ni wale wanaoishi kwa uaminifu na utakatifu mkuu, haijalishi ni muumini,mpagani,mchungaji,padre au hata sister. according 2me:confused2:
Kwani UKIMWI unaambikizwa kwa ngono peke yake? Hivi hii karne ya ngapi wajameni?
 
Fanya hivi.Tutaishi nyumba moja na kulala pamoja lakini.......kama kaka na dada.Hii itakuwa njia rahisi zaidi na dawa nzuri ya hii kitu.Na nadhani hii itatupa muda mzuri zaidi wa kufanya mambo ya maendeleo zaidi kuliko kushughulikia kiwanda cha kuzalisha watoto.

Tuanze lini?:smile-big::smile-big:
 
Fanya hivi.Tutaishi nyumba moja na kulala pamoja lakini.......kama kaka na dada.Hii itakuwa njia rahisi zaidi na dawa nzuri ya hii kitu.Na nadhani hii itatupa muda mzuri zaidi wa kufanya mambo ya maendeleo zaidi kuliko kushughulikia kiwanda cha kuzalisha watoto.
:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:

The Following User Says Thank You to Zion Daughter For This Useful Post:

Teamo (Today)​
 
nasikia mademu wa kichaga ni magogo kitandani? ila sina uhakika
Yaani hapo umenitukania mama yangu, mke wangu na mabinti zangu. Hakuna anayeweza kuwatukana hawa watu nikamuacha hivi hivi. Tafadhali futa kauli yako before I loose my temper....... am counting 5..............4................3............
 
Yaani hapo umenitukania mama yangu, mke wangu na mabinti zangu. Hakuna anayeweza kuwatukana hawa watu nikamuacha hivi hivi. Tafadhali futa kauli yako before I loose my temper....... am counting 5..............4................3............

na karne hii utasema kuna cha uchaga na uzaramo/umakonde? watu wana hila sana...cku hizi acyejua haya mambo nani?
 
shemeji hujambo lakini? afadhali sasa hivi unaonekana onekana duh

Sijambo shemeji.Nimerudi rasmi kikazi baada ya kutoweka kama Carmel huko kwenye shughuli za uchaguzi na kura za maoni.
Lakini kuna mtu ananiboa eti wanawake wa kichaga........Na mie nina "uraia" wa Rombo wa kununua.
Huyu FUNZADUME atutake Radhi haraka.kabla hatujaandamana kwa invizibo.
 
wewe nawe ishu zako nyingi ni za kuckia tu, chache sana ume prove.....hebu mtupumzishe jaamni.
Nimeliambia hilo lijitu liwaombe radhi. Patakuwa hapatoshi hapa muda si mrefu.
 
Back
Top Bottom