Matarajio ya Dawa ya Ukimwi: Ujumbe kwa wana JF

:confused2::confused2::confused2:

''''ooooooooooooooooooooooooooooh....ona sasa..zimefutika message......zimefutika sms........:welcome:

Asee huyu FD bado hajawataka radhi dada zetu na sisi pia concurrently?
 


wala huko hatufiki, huyu tutamalizana naye hapa hapa kwenye shina tu shemeji!
 
nasikia mademu wa kichaga ni magogo kitandani? ila sina uhakika

Funzadume, hebu tafuta mmoja wao halafu uje utupe eksipiriensi hapa maana kila siku mwatusema usilete habari za kusikia. :confused2::confused2::confused2:
 
''''ooooooooooooooooooooooooooooh....ona sasa..zimefutika message......zimefutika sms........:welcome:

Asee huyu fd bado hajawataka radhi dada zetu na sisi pia concurrently?
haiwezekani tumpigieeeee
tuweke laudispika tumsikieeeeeeeeeeee
haiwezekani akosee naaambaaaaaaaa
wakati wenye simu ni wengiiiiiiiiiii
 
Funzadume, hebu tafuta mmoja wao halafu uje utupe eksipiriensi hapa maana kila siku mwatusema usilete habari za kusikia. :confused2::confused2::confused2:


yaani watu bado wapo zama za kale kabisa kabisa....
 
Funzadume, hebu tafuta mmoja wao halafu uje utupe eksipiriensi hapa maana kila siku mwatusema usilete habari za kusikia. :confused2::confused2::confused2:


Sia-siiiiii.........:ranger:
 
Funzadume umepotea wapi tena tunakusubiri kaka...........................
 
Heri yao watawa/masista na mapadre maana wamekingiwa gonjwa hilo.........

ha ha ha ha nafikiri huwajui vizuri watajwa hapo juu infact hao si ajabu wanabanjuana kuliko hata wana ndoa
 
na karne hii utasema kuna cha uchaga na uzaramo/umakonde? watu wana hila sana...cku hizi acyejua haya mambo nani?
Watu wengine bado wako enzi za TANU.




The Following User Says Thank You to Zion Daughter For This Useful Post:

Asprin (Today)​
 
wewe nawe ishu zako nyingi ni za kuckia tu, chache sana ume prove.....hebu mtupumzishe jaamni.
nilikuwa nafanya research kuna wachaga wangapi humu ndani kwa kuwachokoza na kuona wanavyo-react

kumbe nawe ni wale wale kina AIKAMBE
 
aisee wachaga wote naomba mnisamehe msije mkanisababishia kifungo kama kila kilichonitkea last month
 
nilikuwa nafanya research kuna wachaga wangapi humu ndani kwa kuwachokoza na kuona wanavyo-react

kumbe nawe ni wale wale kina AIKAMBE

:embarrassed1::embarrassed1: + :frusty:= :smash:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…