Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kwenye ndoa kuna matatizo mengi sana yanayotukuta eitha sisi wenyewe, marafiki zetu, ndugu zetu na watu mbalimbali. Tunayasikia matatizo hayo kila siku kwenye mazungumzo tunayoyafanya, kupitia magazeti ya udaku na vyanzo vingine mbalimbali.
Kupitia uzi huu, tutaweza kuweka matatizo ya kindoa kisha tuone nini linaweza kuwa suluhisho kwa tatizo hilo.
TATIZO:-
Mdada maarufu anajielezea. "Mimi nimeolewa miaka miwili na nimebahatika kupata mtoto mmoja kwenye ndoa yangu.
Mume wangu anautumia muda wake mwingi nje ya nchi ambako anasakata soka la kulipwa.
Tatizo langu ni kwamba, mume wangu awapo mbali huwa ninamkumbuka sana na ninatamani aje niwe naye, lakini akija ninamchukia, namfanyia visa na kumtukana na kumvunjia heshima mbele ya watu.
Je nimerogwa? Nifanyeje ili niidumishe ndoa yangu?
Wana JF hebu tuchangiane mawazo ili kumnusuru mrembo huyu na ndoa yake.
Kupitia uzi huu, tutaweza kuweka matatizo ya kindoa kisha tuone nini linaweza kuwa suluhisho kwa tatizo hilo.
TATIZO:-
Mdada maarufu anajielezea. "Mimi nimeolewa miaka miwili na nimebahatika kupata mtoto mmoja kwenye ndoa yangu.
Mume wangu anautumia muda wake mwingi nje ya nchi ambako anasakata soka la kulipwa.
Tatizo langu ni kwamba, mume wangu awapo mbali huwa ninamkumbuka sana na ninatamani aje niwe naye, lakini akija ninamchukia, namfanyia visa na kumtukana na kumvunjia heshima mbele ya watu.
Je nimerogwa? Nifanyeje ili niidumishe ndoa yangu?
Wana JF hebu tuchangiane mawazo ili kumnusuru mrembo huyu na ndoa yake.