Matatizo mbalimbali ya kindoa na majibu yake.

Matatizo mbalimbali ya kindoa na majibu yake.

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Kwenye ndoa kuna matatizo mengi sana yanayotukuta eitha sisi wenyewe, marafiki zetu, ndugu zetu na watu mbalimbali. Tunayasikia matatizo hayo kila siku kwenye mazungumzo tunayoyafanya, kupitia magazeti ya udaku na vyanzo vingine mbalimbali.
Kupitia uzi huu, tutaweza kuweka matatizo ya kindoa kisha tuone nini linaweza kuwa suluhisho kwa tatizo hilo.

TATIZO:-
Mdada maarufu anajielezea. "Mimi nimeolewa miaka miwili na nimebahatika kupata mtoto mmoja kwenye ndoa yangu.
Mume wangu anautumia muda wake mwingi nje ya nchi ambako anasakata soka la kulipwa.
Tatizo langu ni kwamba, mume wangu awapo mbali huwa ninamkumbuka sana na ninatamani aje niwe naye, lakini akija ninamchukia, namfanyia visa na kumtukana na kumvunjia heshima mbele ya watu.
Je nimerogwa? Nifanyeje ili niidumishe ndoa yangu?

Wana JF hebu tuchangiane mawazo ili kumnusuru mrembo huyu na ndoa yake.
 
:A S 465:Kulogwa tena!!! Hilo nalo neno,ngoja nikapate msunguti nitarudi na shemeji aseme!!!
 
Jamani huyo anayezuga kurogwa ili aachane na mumewe si ndio yule Irene WOWOWO?
 
Aende akafanyiwe maombi, pia apunguze mahusiano nje ya ndoa, maana hayo ndiyo yanayomfanya amchukie mumwe wake kila ajapo bongo.
Kwenye ndoa kuna matatizo mengi sana yanayotukuta eitha sisi wenyewe, marafiki zetu, ndugu zetu na watu mbalimbali. Tunayasikia matatizo hayo kila siku kwenye mazungumzo tunayoyafanya, kupitia magazeti ya udaku na vyanzo vingine mbalimbali.
Kupitia uzi huu, tutaweza kuweka matatizo ya kindoa kisha tuone nini linaweza kuwa suluhisho kwa tatizo hilo.

TATIZO:-
Mdada maarufu anajielezea. "Mimi nimeolewa miaka miwili na nimebahatika kupata mtoto mmoja kwenye ndoa yangu.
Mume wangu anautumia muda wake mwingi nje ya nchi ambako anasakata soka la kulipwa.
Tatizo langu ni kwamba, mume wangu awapo mbali huwa ninamkumbuka sana na ninatamani aje niwe naye, lakini akija ninamchukia, namfanyia visa na kumtukana na kumvunjia heshima mbele ya watu.
Je nimerogwa? Nifanyeje ili niidumishe ndoa yangu?

Wana JF hebu tuchangiane mawazo ili kumnusuru mrembo huyu na ndoa yake.
 
Aende akafanyiwe maombi, pia apunguze mahusiano nje ya ndoa, maana hayo ndiyo yanayomfanya amchukie mumwe wake kila ajapo bongo.
Ukisha yazoea maisha ya kuruka njia, maisha ya ndoa utayawezea wapi?Aombe tu talaka yake, arudi kwenye soko lake rasmi, awaombe pia radhi wateja wake kwa kuwacheleweshea huduma kipindi alichokuwa ndoani.
 
Hana kurogwa wala nini wakuroge kwalipi? ebu tuliza mapepe umetaka kwani ulikua hujui kama kuolewa sio lelemama?
 
Mh jamani majaribu mengine ni mazito.
Buji mwambie binti huyu asali sana. Aiweke ndoa yake kwenye maombi kwani inawezekana ni mambo ya ushirikina. Huwenda mumewe ana kimada sehemu nyingine ambacho kimemtengenezea mazingira ya kutoelewana na mkewe au yeye mdada ana kibanda chake ambacho kinamharibia kwa mumewe au wote ni wasafi lakini yupo asotaka wawe pamoja.
 
Back
Top Bottom