Matatizo mbalimbali yanayowakumba wanafunzi wa vyuo vikuu...!!

Al-shabaab

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
1,791
Reaction score
619
Habari zenu wana jukwaa.!
natumaini kila mmoja kwa sasa anashauku ya kwenda chuo na kuripoti na kuanza masomo
kwa kutumia fursa hii ningependa tuyajadili matatizo mbalimbali yanayowakumba wanafunzi katika vyuo vyote tokea kipindi wanaripoti mpaka wanapohitimisha masomo yao.!
nawasilisha
 
Kuna matatizo kadhaa!
1,Drastic changes -kutoka secondary na kuingia Chuo ambako haubanwi na mtu yeyote..hili hua linawasumbua sana baadhi ya vijana.Wanashindwa kabisa kupanga vipaumbele.
2,Malazi...haswa wale wa UDSM,IFM na kwingineko...if you are not careful hili tu linaweza kukufelisha.
3,Migomo....wakati mwingine hata mwaka wa masomo unaweza kuahirishwa kwa sababu hizi.
4,Wizi...be careful wizi upo sana tu vyuoni...especially nguo,simu na laptops!
5,Uchaguzi wa kozi...wakati mwingine wanafunzi wanachagua kozi kwa kufuata mkumbo tu..wakifika na kuanza kozi wanakuta masomo yenyewe hawayamudu....kubadili kozi napo kwa baadhi ya vyuo sii kazi rahisi.
 
thanks kwa maelezo yako mazuri
 
kuna hii kitu ya kuchelewesha boom inasababisha dada zetu wat****we ovyo ovyo
 

thanx mkuu
 
If your woman, problem comes when your lecturer need to see your pants.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…