matatizo mchumba!

matatizo mchumba!

Typhoid

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2012
Posts
226
Reaction score
70
Mimi naitwa j, nina miaka 30,jinsia united states, ninafanya kazi american air force, I am a us citizen, sikuzaliwa tz ila huwa natembelea sana huko. Nahitaji kujenga urafiki ili baaadae nioe, nakuja tz next year so kama uko interested nipm tujuane sichagui kabila,dini,ila hakikisha una nwanya na sura ya kitabasamu, uwe umejazia kidogo na sio china made, I dont care about education,uwe tayari kuhamia us maana mie kazi yangu siruhusiwi mjuaji huko, this is serious. I dont care about money,please pm me,nikichelewa kukujibu usihuzunike nitakuwa niko juu angani hakuna network for internet but I will reply once I get time. Thanks guys.....
 
Nenda serengeti national park kuna ngiri wa kutosha chagua mmoja...
 
aende misitu ya kongo,kuna gollila wengi sana huko.....wanamfaa
 
Hujaishi Tz na kiswahili unakinyoosha zaidi ya mzaramo utakuwa wa kipekee au umefikiri kujifanya uko us ndo utashobokewa?
 
hahahahahaa... all da best. nami nlîkuwa nasaka bht nzur nshampata wangu laazizi a.k.a tulizo/chaguo la Mungu!
 
maneno mengi ya nini?mara usa,mara angani,haya bana wasubiri dadazetu waje waku pm.
 
Hujaishi Tz na kiswahili unakinyoosha zaidi ya mzaramo utakuwa wa kipekee au umefikiri kujifanya uko us ndo utashobokewa?

Hahahaaaa, xafi xana! Kumbe umemshtukia eeh..!
 
Back
Top Bottom