Nisiwe mnafiki kabisa changamoto inayonitesa ni moja tuu sina demu wala rafiki, ndugu jamaa na majirani wanadai najiskia nipo anti-social siwaelewani.
Yani nikienda Bar nakaa mwenyewe nakunywa vitu vyangu juzi mrembo si akanifata akaniambia Kaka mbona kila siku unakaa mwenyewe hauongei hauna demu nikamwambia ndio unaishije Sasa nikamwambia napiga sana Puchu aka punyeto nikamwambia unakunywa akasema Serengeti light nikamnunulia 10 kwa pamoja nikaondoka zangu akaniambia hata namba yangu hauchukui nikamwambia kunywa bia ukalale kumbe yule dada akabeba zile bia akaanza nifata na bajaji mpaka napoishi kufika Sina habari mbwa wakampalamia wemrarua Sasa hivi changamoto niliyonayo yupo nyumbani amelala anasema hawezi kwenda kwao mpaka apone shangazi yake mkali na Mimi nakunywa bia zangu baada ya kutoka job nikilewa naenda kulala Lodge bado namba yangu hana Kama anaweza aibe vitu vya ndani.
Ndani kwenye nina kagodoro tuu kapo chini Tena kametoboka kwa ajili ya punyeto, tv ya kichina inaitwa sing sang, pasi ipo ila waya umekatika ukifanya masihala inakupiga short, chaja ya simu na king'amuzi Cha Azam sijalipia tangu July abebee tuu.
Na ile nyumba ilivyo na tabu za luku sijui Kama haijaisha huko na hili joto wallah afee tuuu na akitoka njee tuu mbwa watamshughulikia Tena.
Pia demu ana tako kubwa ila mbwa wajeuri wameacha kung'ata tako wakang'ata kigimbi Cha mguu kweli dunia hii haishii misongamano.