CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
- Thread starter
-
- #21
SIKUTAKA KURUDI HAPA KWA SASA, lakini nimelazimika
Katika context (muktadha) wa Tanzania kwenye siasa na maendeleo vipo pamoja. Hivyo huwezi kusema kujengewa mazingira, hasa kwa kilimo you will need something. Mfano, endapo unahitaji mkopo say unawekeza kwenye samaki wa kufuga utahitaji ardhi, unless you got tittle dead au hata CCRO - customary certificate of right of occupancy. This is a process hasa kwa mtu mmoja mmoja. Serikali inapaswa kuwekeza kufanya upimaji wa ardhi - itoe certificate kwa vijiji viwe na land registry ndo viweze kutoa CCROs. Hili litamwezesha mtu kutumia ardhi kama collateral - hapa pia ina maana ni jukumu la serikali kuhakikishia mabenki kuwa ardhi hata ile ya vijijini inaweza kutumika kama collateral! Huu ndo uwezeshwaji wa serikali nilio-maanisha. Pia endapo mtu unafunga samaki utahitaji huduma za vyumba baridi/cold roooms! Hii haiwezekani kama hakuna umeme! Huu ni uwezeshaji pia wa serikali.
Kimsingi tunaongea kuleta mapinduzi ya kifikra kutoka kilimo cha kujikimu kuja kwenye kilimo cha biashara. Sasa graduate hata kama anaanza mwenyewe, ni lazima yawepo mazingira bora yanayohamasisha kuwekeza
Likewise mfanya biashara hana mkataba na mlimaji, lakini anaweza kushawishika kuingia biashara kama mazingira ni bora. Nijuavyo mimi kilimo cha mkataba sio mwarubaini -panacea ya matatizo ya soko na ubora wa mazao. Katika mfumo wa sasa zipo avenues nyingi sana za kufanya biashara, but sisi tumeendelea kuangalia njia moja! Wakati mwingine natamani niache kazi nijikite kabisa kwenye kilimo -mazao au mifuko (amid challenge ya upatikanaji wa maji na malisho).
La mwisho, kuna Enterpreneur (nadhani- sikumbuki nani humu) ameongea kuhusu export ban (sio bun). Jambo hapa muhimu kujua ni kwamba we are not totally against it, BUT should not be done by violating farmers and or traders' right! What do I mean here? Serikali iki-impose ban iwe tayari kununua kwa bei ya soko tena pasipo usumbufu. FINITO! Wale ambao wanaimpose ban, lazima wanakuwa na mechanism za kuuza. Mkutano wa wiki hii hapa Dodoma, Mkuu wa Mkoa wa Rukwa alilalamika SANA kuhusu unsold consignment ya mahindi - over 600 tonnes!Waziri akakataa kuwa kiasi hicho hakipo. Alipoulizwa mtu wa Grain reserve hakuwa na takwimu! Sasa ban zinazoenda bila enough data unategemea nini
Mchana mwema
MKUU UNAUHAKIKA KUNA MKULIMA ANAYE TAKA KUUZA MAHINDI KENYA? NIJUAVYO MIMI HAKUNA HATA MKULIMA MMOJA ANAYE FANYA HIVYO WAO WANABAKIA KUONA MAGARI YAKO MIPAKANI TU
- Hii biashara ya kuuza mahindI KENYA inafanywa na wafanya biashara walanguzi ambao wao huenda kununua kwa wakulima kwa bei ya chini na wao ndo wanaenda kufaidika huko kenya
-NA HATA WAZIRI ALISHA WAHI ONGELEA HILI KWAMBA HAKUNA MKULIMA ANAYE PELEKA MAHINDI KENYA BALI NI WAFANYA BIASHARA WAJANJA WAJANJA
-That is wahy nasema kungekuwa na Viwanda Vingi vya kusindika mahindi je yangeozea huko RUKWA? Viwanda viulivyopo havina uwezo wa kusindika mahindi yote make kwanza viko vichache sana
2. KILIMO CHA MKATABA
Mkuu kilimo cha mkataba ndo solution, huku ARUSHA KUNA WAKULIMA WAZUNGU WANALIMA KAHAWA NA WANAUZA USWIZI NA WANA CONTRACT MKUU
- Kuna wanao lima maharage na wana soko kabisa linalo fahamika kisheria,
- Mkuu hebu fikilia mwaka huu unalima mahindi, maharage,nyanya, unafuga kuku na kazalika, na huna sehemu ya kuuza ila unaamini tu ukisha lima utayauza na hata huko RUKWA kunasababisha na vitu kama hivi,
- Kwa wakulima wakubwa hakuna anaye weza kulima bila kujua ana muuzia nani, kilimo ni kama kiwanda na hoteli, wewe huwezi anzisha kiwanda au hoteli bila kujua unamuuzia nani chakula ila unaamini kwamba hapa watu watakuja tu