kabugira
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 1,186
- 659
Wadau naomba msaada, nina binti yangu ana umri wa miaka 16.
Amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya tumbo mara kwa mara.
Leo nimempeleka hospitalini amechukuliwa kipimo cha pylori na akaonekana na acid nyingi tumboni.
Kuna mwenye kujua tiba ya moja kwa moja ya tatizo hili hasa .
Amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya tumbo mara kwa mara.
Leo nimempeleka hospitalini amechukuliwa kipimo cha pylori na akaonekana na acid nyingi tumboni.
Kuna mwenye kujua tiba ya moja kwa moja ya tatizo hili hasa .