Matatizo ya hedhi

Mwanantala

Senior Member
Joined
May 13, 2010
Posts
130
Reaction score
26
Heshima mbele madaktari wote! Naomba mwongozo wenu watblam wa afya ya uzazi wa kina mama. Usiku huu mamsapu yuko mp. Tatizo damu inatoka kama mkojo na anajisikia maumivu makali sana tumboni. Ametumia diclofenac kidonge kimoja lakini maumivu yako palepale. Kwa sasa ameanza kusikia baridi. Naweza kumpa kidonge cha pili ili kimsaidie usiku huu? Naomba ushauri wenu.
 
Pole sana mkuu,haya wataalam mwagen Elim isiyohitaj admission letter!
 
Kwani kwa kawaida huwa anatumia nini akipata maumivu??
 
anakudekea tu huyo.kaona upo karibu....
 
Hutumia dawa hiyo hiyo na kipimo hicho hicho.

Basi ningeshauri avumilie tu usimuongezee dose. besides yeye ndo anaujua mwili wake vizuri na ni kwa masaa machache tu ya mwanzoni maumivu yanakuwepo mpaka dawa ifanye kazi yatapungua. unless kama kanywa dawa muda mrefu (masaa 4 kabla) na bado maumivu anayasikia ndo aongeze dawa. mpe pole
 
pia nikupe trick labda inaeza msaidia mimi huwa na-monitor zikikaribia..yaani kwa mtu ambaye huwa anapatwa na maumivu haya kabla hazijaanza kuna vimaumivu vya mbali unavisikia kwa siku kadhaa. unavisikilizia mpaka pale unapoona leo au kesho siepuki unajinywea dawa zako mapema kwa hiyo maumivu yanapambana na dawa huko huko ndani. hakuna kusubiri mpaka zianze na maumivu juu ndo unywe labda kama huna dawa karibu na ndo maana kwenye mkoba wangu huwezi kosa dawa kwa ajili ya shuruba kama hizi. awe akimeza dawa mapema kabla hazijaanza au immediately zikishaanza.
 

Asante sana. Katulia kidogo. Usiku mwema.
 
mm naomba ufafanuzi zaidi maana mamaa yy anaumwa sana na huwa hata kama akitumia dawa za kutuliza maumivu kama Diclophenac anasema ni kama hazimsaidii kabisa. so anabaki kuyasikilizia maumivu hadi atakapotulia. naombeni msaada kwa hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…