careen Rodgers
New Member
- Sep 12, 2017
- 2
- 0
Kwema jamani,naombeni ushauri
Nina binti yangu ana miaka 5 sasa!tangu amezaliwa uzito wake kweli hauongezeki kabisa !yaani ni mwembamba sana!yaani mikono na miguu ni imenyooka tu,baada ya Miaka mitatu nikagundua magoti yake yamevimba kuliko pelekea miguu take kupinda ! (Matege) sasa hivi ànatembea vizuri ila anachechemea
Nimezunguka hospital lakini hawajanipa haswa ugonjwa wa huyu mtoto ni upi!
Mwenye ushauri naomben wakuu
Nina binti yangu ana miaka 5 sasa!tangu amezaliwa uzito wake kweli hauongezeki kabisa !yaani ni mwembamba sana!yaani mikono na miguu ni imenyooka tu,baada ya Miaka mitatu nikagundua magoti yake yamevimba kuliko pelekea miguu take kupinda ! (Matege) sasa hivi ànatembea vizuri ila anachechemea
Nimezunguka hospital lakini hawajanipa haswa ugonjwa wa huyu mtoto ni upi!
Mwenye ushauri naomben wakuu