Wakuu habari
Kuna binti wa miaka 23 anasumbuliwa na tatzo la magoti kuvimba na visigino vya chini je hili linaweza kuwa tatzo gani?? Na achukue hatua gani kukabiliana na hili tatzo
Wakuu habari
Kuna binti wa miaka 23 anasumbuliwa na tatzo la magoti kuvimba na visigino vya chini je hili linaweza kuwa tatzo gani?? Na achukue hatua gani kukabiliana na hili tatzo
Ni muhimu ukaenda hospitalini akaonwe na daktari, ikiwezekana aonane na daktari bingwa wa mifupa (orthopedics surgeon) kwa ajili ya uchunguzi, vipimo na matibabu sahihi.