Matatizo ya Mkongo wa Taifa ni funzo kubwa la kiusalama!

Kurudi kwenye hardcopy ni ngumu. Vipi kuwa na vyanzo mbadala vya internet kama vile Internet ya satelite, mfano ya Starlink au siyo salama?
 
Oya u
Oya unazingua big time arif.... Sio wote tumeenda shule.... Wengine La Tatu A... Ukitoa siku za utoro tumeishia vidudu
 
Bado kuna umuhimu wa back up ya Hardcopy katika maswala yote ya kiserikali na kijamii ili kuepuka kusimama kwa huduma na mengineyo.
Hili ni somo kubwa kwa wanausalama nchini.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Nape yupo huko mtando wa X anapost akipiga vinanda
 
Bado kuna umuhimu wa back up ya Hardcopy katika maswala yote ya kiserikali na kijamii ili kuepuka kusimama kwa huduma na mengineyo.
Hili ni somo kubwa kwa wanausalama nchini.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
bandari wamempa dp world sasa kakata mawasiliano mkome
 
Bado kuna umuhimu wa back up ya Hardcopy katika maswala yote ya kiserikali na kijamii ili kuepuka kusimama kwa huduma na mengineyo.
Hili ni somo kubwa kwa wanausalama nchini.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wana usalama gani unawaambia? Hawa wana usalama walio-specialize kwenye kuua wakosoa serikali na kuchukuwa machangu?
 
hujui kitu kuhusiana na hili tatizo la kimtandao wallah
 
Acha ujinga sasa vpn inasaidia nini wakati miundombinu ya Internet imeharibiwa unajua kazi ya vpn?
 
Ni tatizo limekumba nchi za Africa Mashariki, kuna waya wa kushare internet afrika mashariki umekatika Baharini.
Nimemkumbuka Aliye wai kua RAISI wa marekani DONALD TRUMP KUHUSU BARA LA AFRICA NA WATU WEUSI
 
Duh Mkuu unachanganya mambo...internet...server..anyway tuwaachie wataalam
 
Bado kuna umuhimu wa back up ya Hardcopy katika maswala yote ya kiserikali na kijamii ili kuepuka kusimama kwa huduma na mengineyo.
Hili ni somo kubwa kwa wanausalama nchini.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Naona tiss Wako bize wanafuatilia nyendo za lissu, na kugawa fedha kwa wajumbe wa uchavuzi ndani ya cdm

Haya ndo mambo ya kiusalama ambayo inabidi wayape kipaumbele
 
Waya ni mmoja tu
Nadhani kunatakiwa kuwe na nyaya zingine kadhaa za spare kwa ajili ya rescue na maintenance plan
 
Wanausalama hawa wakusema unanijua mimi nani

Wanachojua ni kuua tu

Kazi ya hovyo sijawahi iona hapa Tanzania
 
Mnapata wapi muda wa kuandika yote Haya hamna watoto na wake huko kwenu. Tena kwa Kingereza


Kwahio unatubagua mkuu.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…