Matatizo ya Mshono wa Njia ya uzazi

Matatizo ya Mshono wa Njia ya uzazi

247

Senior Member
Joined
Mar 29, 2016
Posts
188
Reaction score
197
Habari wana Jf

Kuna mschana alijifungua akiwa na umri mdogo kwahiyo alifanyiwa operation kwenye njia ya kizazi ili mtoto apite (Episiotomy). Sasa tatizo ni kwamba analalamika sehemu zake za siri zinavuta sana kwa ndani
sana sana wakati wa baridi.

Jinsi gani anaweza solve hili tatizo?
 
Back
Top Bottom