Nashukuru sana Keysersoze, kwa kuanzisha maada hii, ukweli ni kwamba watu wengi wa tanzania hawapendi kusoma na kujifunza njia mpya ya kuongeza kipato kama wengi walivyoelezea hapo juu, mimi binafsi profession yangu ni upande wa kompyuta,na natumia komputer masaa mengi zaidi kwa siku, kwa hiyo nikafanya research ni kampuni gani ambayo unaweza kufanya biashara ukiwa tu mbele ya computer yako na access ya internet, itakayonifanya niweze kujenga network ya watu toka pande mbali mbali duniani,maana kwa nyakati hizi biashara ya MLM usiangalie Tanzania tu, angalia biashara ambayo unaweza kufanya maketing dunia nzima na ukapata commisions huko kwa njia ya internet, maana ndo wenzetu huko majuu wanaishi hivyo, mtu yupo nyumbani na Internet yake anafanya biashara.
Hebu waza kwamba una downline wako wapo USA,Canada,Phillipines,Europe,Asia,African country!!,wanaelewa biashara na wanafanya biashara, na wewe kama upline wao unawamanage na kuwafundisha kwa email tu, na kuchati tu, halazimishwi mtu kununua product yeyote, unaweza ukajiunga bure, unapata mafunzo bure, na unapata cheo cha kwanza bila kulipa chochote,ni kwa kufanya baadhi ya activities.
Hii sio get rich quick business, inahitaji mtu anayejua biashara ni nini au anayetaka kujifunza kwa zati, Ukifanya kwa kujicomit vizuri kipato kinakuwa kama ifuatavyo:
$135.30 per month after 6 months ($1,623.60/yr)
$1,458.30 per month after 12 months ($17,499.60/yr)
$3,159.30 per month after 18 months ($37,911.60/yr)
$5,508.30 per month after 24 months ($66,099.60/yr)
Hapo nimekuwa muwazi sana,ntarudia tena hii sio kama Desi Kwamba Unatajirika mwezi ujao,unatakiwa ufanye kazi kwa bidii,ujifunze na kufanyia kazi yale uliyojifunza, pia ujue kiiegereza safi kwa kuwa unawasiliana na ulimwengu wote
Kwa wale ambao wapo makini na kwa kweli walikuwa wanatafuta nafasi kama hii basi, jiunge Bure na click hapa Real Internet Income
Tukutane huko, tufundishane
Nashukuru Sana