Matatizo ya network

Matatizo ya network

Kaa la Moto

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2008
Posts
7,904
Reaction score
1,064
Wadau
Mimi ninakutana na shida ya net work kukatikakatika au wakati mwingine hata kuwa slow na kutopatikana. Na habari toka kwa ISP wangu TTCL nasikia ni shida inayoanzia kwa Seacom. Je kuna mtu mwingine anakutana na shida kama yangu?
 
Mimi pia nimekumbana na tatizo hilo leo kuanzia saa 9 aubuhi hadi saa 4 jioni ya leo...ila mimi na tumia simbanet
 
vodacom.....NO...mambo bwerere
 
Back
Top Bottom