Matatizo ya ngozi

Matatizo ya ngozi

Barhearty

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2013
Posts
319
Reaction score
29
Habari wanajamvi. Naombeni ushauri,mwili wangu hua unajoto ambalo nahisi alipo kwenye level yake, kwani hata marafiki na ndugu zangu ua wananishangaa sana. Mie ni mweupe lakin kama nikitembea juani nakua kama mwekundu hivi, pia hata mtu akinishika kwa nguvu au kwa dakika chache alama zinabaki. Na znachukua muda mrefu kuisha. Pia uamwili unaniwasha sana. Sijui ninamatatizo gan. Nilisha endaga hosptali kama dawa nimetumia sana
 
dah pole sana inewezekana ndo ulivyoumbwa kazi ya Mungu hyo
 
asante mkuu. Yani kama ningepata dawa o jins ya kuzuia hii hal ningepata ahuen
pole sana mkuu ebu jaribu kumcheki uyu mtaalam kwa namba hiz maana wengi tumesaidiwa 0715764164
 
Back
Top Bottom