kama kichwa kinavyojieleza.... je wadau hiz gari zina matatizo gani ikiwa yapo maana nimeiona moja nikaipenda na nimetamani kuiagiza. as soon as nikiambiwa hazina tatizo. ni ya mwaka 2007 inasoma CC 1780. ingawa naona nyingi ni cc 1480.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.