Matatizo ya nyonga na mifupa

OK hayo mafuta yanapatkana maduka yap?
Nenda duka la sawa za asili ..wanayauza sana.....

Dada ,,, kwanza umezaa au ,?? Unatumia njia za uzazi mpango au ??? Unaumri gan ??? Kama unaona aibu kujibu hapa ..nijibu PM .
 
Nenda duka la sawa za asili ..wanayauza sana.....

Dada ,,, kwanza umezaa au ,?? Unatumia njia za uzazi mpango au ??? Unaumri gan ??? Kama unaona aibu kujibu hapa ..nijibu PM .
Cjazaa, ctumii uzazi WA mpango, Nina 30yrs natafta mtoto ila kutokana na hayo maumiv inakuwa shida Ku conceive maana Mara nying nakuwa kwenye doze
 
Cjazaa, ctumii uzazi WA mpango, Nina 30yrs natafta mtoto ila kutokana na hayo maumiv inakuwa shida Ku conceive maana Mara nying nakuwa kwenye doze
Pole sana mkuuu sasa hapo ndipo tatizo unaliwaka wazi zaidi .

Nitakufata PM.
 
nyonga ni eneo gani?

Mkuu, heshima kwako.

[HASHTAG]#missnatafuta[/HASHTAG] asante kwa kuja!

Msaidieni mwanamke mwenzenu au mpeni maelekezo kuhusu hospital, doctor au mahala pa kupata matibabu.
 
Hellw jmn naomba kusaidiwa mama angu anasumbuliwa sanaa na maumivu ya nyonga na xley imeonesha kwmb mifupa yake imepekecha sasa imefka hatua anapata maumiv makali sanaa mpk inapelekea kutembea huku ameinama... Jmn kama kuna dawa unaifaham naomba unisaidie
 
Hayo ndo yananikuta mimi mguu wa kushoto unauma siwezi kutembea kesho mapema sana naenda hosp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…