Zambavuni
Senior Member
- May 24, 2012
- 118
- 26
Hello wana JF!
Hivi matatizo ya wakulima wa miwa huko mtibwa mbona huwa ni kitendawili kisichoteguka? Akienda Mkuu wa nchi hana majibu, mkuu wa mkoa, yale yale, mawaziri hamna kitu. Huko kulikoni? Nasikia Muwekezaji halipi kwa wakati, pesa anawapa kidogo mpaka wanashindwa kuendeleza zao hilo. Ebu jamani kuna mdau mwenye uelewa kulikoni huko?
Hivi matatizo ya wakulima wa miwa huko mtibwa mbona huwa ni kitendawili kisichoteguka? Akienda Mkuu wa nchi hana majibu, mkuu wa mkoa, yale yale, mawaziri hamna kitu. Huko kulikoni? Nasikia Muwekezaji halipi kwa wakati, pesa anawapa kidogo mpaka wanashindwa kuendeleza zao hilo. Ebu jamani kuna mdau mwenye uelewa kulikoni huko?