Matatizo yote haya yanatokea, Je! Kazi ya Mungu ni nini?

Matatizo yote haya yanatokea, Je! Kazi ya Mungu ni nini?

Free will is a fraud.

Mtu ambaye kaua na anataka kurudi nyuma katila muda ili ajirudi asiue na yule aliyemuua aendelee kuishi ana free will gani ya kufanya hivyo?

Kama mungu yupo na anapenda sana kuwapa watu free will, mbona hakitupa free will hiyo?

Na kama yupo na hakutupa hiyo, kweli tuna free will?

Kuna watu wanezaliwa na genes zinazowalazimisha kuwa namna fulani, hapo kuna free will?

Wale watoto wanaouawa kwa natural disasters wana free will gani ya kifanya maamuzi ili mabaya yasiwakute?

Wewe ulichokariri huwezi kunifunza kutoka kwacho. Atheist mnashabihiana kitu kimoja. Uwezo wa kukariri pasipo kuhariri na kuamini katika kariri zenu kwamba kuna ujuzi.
Umechokwa kwa kuwa hufundishiki hata ukifundishwa Una default position ambayo tuki log off unarejea kwayo.
Nani unamtisha na imani yako ? Hata ujisumbue kwa Mungu wangu ?
 
Kenya wamekufa watu. 150 ambao hawana hatia na kuna watu wanasema kumuua kafiri sio dhambi je ni mungu ndio anasema hivyo au watu wanajitungia na ilikuweje mungu aliumba kafiri kwanini asiwe anawasaidia hata makafiri wasiuwawe

Tuambie na Somalia wamekufa wangapi wakati ndege za Kenya zilipofanya mashambulio.
 
Wewe ulichokariri huwezi kunifunza kutoka kwacho. Atheist mnashabihiana kitu kimoja. Uwezo wa kukariri pasipo kuhariri na kuamini katika kariri zenu kwamba kuna ujuzi.
Umechokwa kwa kuwa hufundishiki hata ukifundishwa Una default position ambayo tuki log off unarejea kwayo.
Nani unamtisha na imani yako ? Hata ujisumbue kwa Mungu wangu ?

Kukubali kuwapo kwa mungu kwa mapokeo na kukataa kujibu maswali makini ya kimantiki si kukariri?
 
Kukubali kuwapo kwa mungu kwa mapokeo na kukataa kujibu maswali makini ya kimantiki si kukariri?

Mantiki uliyovumbua wewe mwenyewe inakufaa wewe, maswali yako hayana mantiki unaweka mlolongo wa kariri au maswali na majibu kwa mtazamo wa mantiki zako ukitaka ujibiwe kwa mantiki.
Mengi ya maswali ysko yanakosa Sifa za kuwa maswali, zaidi Sana ni mashairi yasiyo na mantiki.
 
Kama Yesu aliteseka na kufa tena kwa kusingiziwa pasipo na hatia akiwa ni mwana wa Mungu itakuwaje kwangu mimi na wewe? falsafa yake iko wazi,waovu kama akina Baraba wataachwa na kuonekana mashujaa katika utawala wa ibirisi wakati wasio na hatia watateswa na kufanyiwa kila unyama ili maana harisi ya ufalme wa mbinguni ipatikane, kuuona ufalme wa mbinguni si njia nyepesi wala ya huruma,ni lazima mwili uumie na kuumizwa ili uippnye nafsi na ukiogopa kuumizwa mwili tu ukataka kuonewa huruma basi jua nafsi haitapona ...Mimi na wewe yatupasa kuifata njia ya Yesu msalabani,kwani yeye alikuwa na hatia gani?
kwa mantiki hio mungu sio muwezq wa yote kwanini atake kiumbe chake kiteseka ndo kione ufalme wa mbinguni ns je tunao kula bata ndo anaenda kutuchoma sio ....Huyu mungu dhaifu kweli sasa nini maana ya kuumba universe???
 
Mantiki uliyovumbua wewe mwenyewe inakufaa wewe, maswali yako hayana mantiki unaweka mlolongo wa kariri au maswali na majibu kwa mtazamo wa mantiki zako ukitaka ujibiwe kwa mantiki.
Mengi ya maswali ysko yanakosa Sifa za kuwa maswali, zaidi Sana ni mashairi yasiyo na mantiki.

Unaweza kufanya maneno yako yaweze kuaminika zaidi ukituonesha ni wapi na kwa vipi maswali yangu hayana mantiki


Kichaa yetote anaweza kusema "maswali yako hayana mantiki". Kazi ni kuonesha maswali gani hayana mantiki na kwa vipi.

Kila kitu kipo JF, unaqeza kunukuu na kuuonesha umati wa JF, wapi maswali yangu hayana mantiki, na kivipi.
 
Unaweza kufanya maneno yako yaweze kuaminika zaidi ukituonesha ni wapi na kwa vipi maswali yangu hayana mantiki


Kichaa yetote anaweza kusema "maswali yako hayana mantiki". Kazi ni kuonesha maswali gani hayana mantiki na kwa vipi.

Kila kitu kipo JF, unaqeza kunukuu na kuuonesha umati wa JF, wapi maswali yangu hayana mantiki, na kivipi.

Mfano , MTU mwenye dini ya hakuna mungu. Kujaribu kuhoji habari ya "mabaya" sijui mabaya unayatoa kwenye sayansi gani na kipimo chake ni nini ?
MTU unayefahamu hakuna sayansi ya mabaya kuuliza kuhusu mabaya ni tatizo la kutofikiri na kuuliza pasipo kijali mantiki
 
Mfano , MTU mwenye dini ya hakuna mungu. Kujaribu kuhoji habari ya "mabaya" sijui mabaya unayatoa kwenye sayansi gani na kipimo chake ni nini ?
MTU unayefahamu hakuna sayansi ya mabaya kuuliza kuhusu mabaya ni tatizo la kutofikiri na kuuliza pasipo kijali mantiki

Kwa nini mabaya yategemee kuwapo kwa mungu?
 
Unaweza kufanya maneno yako yaweze kuaminika zaidi ukituonesha ni wapi na kwa vipi maswali yangu hayana mantiki


Kichaa yetote anaweza kusema "maswali yako hayana mantiki". Kazi ni kuonesha maswali gani hayana mantiki na kwa vipi.

Kila kitu kipo JF, unaqeza kunukuu na kuuonesha umati wa JF, wapi maswali yangu hayana mantiki, na kivipi.
Kiranga huyo jamaa mzoee tu ndivyo alivyo.Huwa sina uhakika kama anachoandika huwa anakijua.Ukiangalia majibu yake katika mijadala mbalimbali utaona asivyo na busara,nahisi majibu yake yanawakilisha jinsi alivyo.Ngoja uone atakavyo ropoka wakati anajibu hapa.
 
Last edited by a moderator:
Kiranga huyo jamaa mzoee tu ndivyo alivyo.Huwa sina uhakika kama anachoandika huwa anakijua.Ukiangalia majibu yake katika mijadala mbalimbali utaona asivyo na busara,nahisi majibu yake yanawakilisha jinsi alivyo.Ngoja uone atakavyo ropoka wakati anajibu hapa.

Kumbe hata wasio amini Mungu wanaamini binadam wana busara ? Haya GT busara mnasomea wapi au inakuwaje binadam awe na busara ?
Uwezo wako wa kutafakari kimantiki huna kiasi kwamba hujui hata unasimamia world view ipi kuhusu chanzo cha uhai.?
Mimi naamini juu ya: In the beginning...ile ya kibiblia naona ndiyo yenye mashiko na mantiki.
Haya wewe umekaririshwa IPI ?
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini mabaya yategemee kuwapo kwa mungu?

Kwa kuwa ili yawepo na yatambulike Ina maana kuna sheria inayoyatambua, na kuwepo kwa sheria ina maana kuwepo kwa mwenye kusimika sheria husika.
Kikubwa zaidi unapozungumzia mabaya unayazungumza Kama binadamu au dhidi ya binadamu.
Huzungumzii mabaya Kati ya simba na swala au nyoka na panya au moto na misitu.
Nawe nieleze evolution ya mabaya ukimtoa Mungu. ..
 
Kama Yesu aliteseka na kufa tena kwa kusingiziwa pasipo na hatia akiwa ni mwana wa Mungu itakuwaje kwangu mimi na wewe? falsafa yake iko wazi,waovu kama akina Baraba wataachwa na kuonekana mashujaa katika utawala wa ibirisi wakati wasio na hatia watateswa na kufanyiwa kila unyama ili maana harisi ya ufalme wa mbinguni ipatikane, kuuona ufalme wa mbinguni si njia nyepesi wala ya huruma,ni lazima mwili uumie na kuumizwa ili uippnye nafsi na ukiogopa kuumizwa mwili tu ukataka kuonewa huruma basi jua nafsi haitapona ...Mimi na wewe yatupasa kuifata njia ya Yesu msalabani,kwani yeye alikuwa na hatia gani?

kwa maelezo yako una manisha walio chinjwa garrisa ndo wamepata tiketi ya moja kwa moja kwenda mbinguni?
 
Kwa kuwa ili yawepo na yatambulike Ina maana kuna sheria inayoyatambua, na kuwepo kwa sheria ina maana kuwepo kwa mwenye kusimika sheria husika.
Kikubwa zaidi unapozungumzia mabaya unayazungumza Kama binadamu au dhidi ya binadamu.
Huzungumzii mabaya Kati ya simba na swala au nyoka na panya au moto na misitu.
Nawe nieleze evolution ya mabaya ukimtoa Mungu. ..

Unajuaje kwamba nazungumzia mabaya dhidi ya binadamu tu?
 
Unajuaje kwamba nazungumzia mabaya dhidi ya binadamu tu?

Kwa kadri ya uelewa wangu utashi wa aina hiyo wanao binadam tena wale walioumbwa na Mungu kupitia Adam na iliwezekana hivyo baada ya adamu kula matunda ya ujuzi wa mema na mabaya.
Huna uwezalo kujibu katika mijadala uwezo wako ni kuuliza maswali ili kukwepa kujibu Yale ambayo yataonyesha uharibifu wa kitengo cha reasoning kichwani mwako.
Theist tunajibu na kuweka hoja/swali.
 
Kwa kadri ya uelewa wangu utashi wa aina hiyo wanao binadam tena wale walioumbwa na Mungu kupitia Adam na iliwezekana hivyo baada ya adamu kula matunda ya ujuzi wa mema na mabaya.
Huna uwezalo kujibu katika mijadala uwezo wako ni kuuliza maswali ili kukwepa kujibu Yale ambayo yataonyesha uharibifu wa kitengo cha reasoning kichwani mwako.
Theist tunajibu na kuweka hoja/swali.

Unajuaje kwamba uelewa wako unakidhi ?
 
Unajuaje kwamba uelewa wako unakidhi ?

Kujua kwamba, kuwepo kwa ulimwengu ni sawa na kuwepo kwa Gari benzi. Kama kuwepo kwa Gari benzi kunaweza kuelezeka kwa kuwepo kwa kanuni za kimakenika na kifizikia katika utengenezaji wake pamoja na mvumbuzi wake vivyo hivyo kuwepo kwa ulimwengu kunaelezeka kwa kanuni zinazofanya uwepo Kama ulivyo na mwekaji wake.
Kwa kutambua hilo ambalo watu Kama wewe linawapa shida ndipo ninapotambua kuwa uelewa wangu na uwezo wangu wa kutafakari unakidhi viwanga vya binadamu mkamilifu mwenye busara.
Swali la nyongeza...
 
Kujua kwamba, kuwepo kwa ulimwengu ni sawa na kuwepo kwa Gari benzi. Kama kuwepo kwa Gari benzi kunaweza kuelezeka kwa kuwepo kwa kanuni za kimakenika na kifizikia katika utengenezaji wake pamoja na mvumbuzi wake vivyo hivyo kuwepo kwa ulimwengu kunaelezeka kwa kanuni zinazofanya uwepo Kama ulivyo na mwekaji wake.
Kwa kutambua hilo ambalo watu Kama wewe linawapa shida ndipo ninapotambua kuwa uelewa wangu na uwezo wangu wa kutafakari unakidhi viwanga vya binadamu mkamilifu mwenye busara.
Swali la nyongeza...

Kati yako wewe unayekubali kwamba mungu ana uwezo wa kufanya lolote (hahitaji kanuni) na miye ninayepinga kwamba kuna mungu wa aina hiyo, nani anakubali umuhimu wa kanuni na nani anatupilia mbali umuhimu wa kanuni?
 
Kati yako wewe unayekubali kwamba mungu ana uwezo wa kufanya lolote (hahitaji kanuni) na miye ninayepinga kwamba kuna mungu wa aina hiyo, nani anakubali umuhimu wa kanuni na nani anatupilia mbali umuhimu wa kanuni?

Sijazungumzia umuhimu au kutokuwa muhimu kwa kanuni, nilichozumgumzia ni ukweli kwamba binadamu kwenye akili timamu na uwexo mzuri wa kutafakari , hata akienda mwezeni akakuta kuna mtambo upo kule kitu cha kwanza atatambua uwepo wa mtengenezaji wa mtambo huo hata kama hajui utendaji wake ama kanuni zilizotumika kutengeneza au kuuweka pale ulipo.
Hivyo hoja yako ya Mungu kuhitaji kanuni haina Mashiko, kwa kuwa namna atendavyo ni swala la kulitafutia majibu lakini matokeo ya alivyotenda yanathibitisha hivyo.
 
Humjui Mungu we2,tatizo ni watu kutotii maagizo yake hayo ndiyo matokeo.Mrudieni Mungu.Ajali zinatokea kwa sababu gani?

Isamako inabidi urude ukasome upya shule inamana wanaokufa wote hawatii maagizo? na wanaoendelea kuishi ndio wanaotii maagizo?
 
Back
Top Bottom