Matawi ya CCM Uingereza

Matawi ya CCM Uingereza

Kuna Watanzania wanaanzisha matawi ya CCM nchini UK ,miji ya Reading,Birmingham,Southampton ,London na Manchester.

Cha kushangaza sijui wanapata muda upi wa kuchezea,na je hizi ofisi nani anazi fund kwa ajili ya kuendesha shughuli hizi za kichama.Isiwe wanachotewa hela za walipa kodi wa Tanzania.Wanavaa hata magwanda ya kijani na njano!u cant believe mtu wa Ulaya ku behave hivi ,nafikiri wengi wao may be wanataka kugombea chochote warudipo tanzania.Bado wana uswahili wa kibongo,most of them hata kiingereza hawawezi kuongea vizuri japo wapo kwa muda hapa!

Kwa habari zaidi,google CCM london then utapata website yao.
Mwanamasala, you're right on your points, hawa CCM hawahitaji London au UK katika strategy you kushinda Uchaguzi Tanzania, wala hawahitaji wanachama wa UK ili wawasaidie katika kampeni. You're forgetting that CCM need money for next year election, kada wao mkuu mmoja alishasema wanazombinu nyingi sana za ksuhinda uchaguzi na they haven't exhausted all; you just forgot one point; this can be one way of creating an infrastructure for money laundering, dirty money to come in direct to CCM; CCM is among the Mafias! Dirty!!
 
Hawa ni waganga njaa tu. Siasa za CCM ziko hapa nyumbani Tanzania, sasa huko UK wanamwamasisha nani?
Huu ni uswahili tu. Ni wametumwa na mafisadi kufanya uwakala wa money laundering.
 
Usilolijua ni sawa na usiku wa kiza...

You are killing forum!

sikia Mkuu kwa tarifa zenu na tarifa za kuaminika tulizonazo hapa jiji Dar, inasemekana wengi wao wameripuwa na kutambulika kama waburundi ,wasomali ,wasudani ,wazimbabwe Nk na wengine ndio wapo mitini ,sasa hayo matawi ya CCM ni chaka lao, kwanini wanafanya hivyo wao ndio wanaelwa ukweli ,na kwa kufikiria kiharaka labda wanajaribu kujiwekea kinga pale patakapo tokea matatizo upande wao chama kiwasaidia wasije kukumbana na sheria hapa bongo kwa kusema hawa walikuwa wanachama wetu wakikitangaza chama kule kwa wafadhili wetu.


This is new input and interesting,hakuna atakayefutilia!!

Nadhani Idea ya CCM ni kuwa hawa jamaa waje kupiga kura, well this is good to them , politics is a game.Kama kuna uwezekano wa CHADEMA n.k kufanya the same, then this is high time to do so. Kukaa chini na kulalamika hakusaidiii, dawa ya moto ni moto!
 
You are killing forum!




This is new input and interesting,hakuna atakayefutilia!!

Nadhani Idea ya CCM ni kuwa hawa jamaa waje kupiga kura, well this is good to them , politics is a game.Kama kuna uwezekano wa CHADEMA n.k kufanya the same, then this is high time to do so. Kukaa chini na kulalamika hakusaidiii, dawa ya moto ni moto!
Hi!
Can you recollect ethical practices please! It shouldn't be the matter of emulation, copying or replication, but ethical politics, period.
 
Huko nje bwana kuna watu wa aina nyingi na wenye malengo yaliyo tofauti sana.
1. Kuna watu ambao walikwenda kwa mialiko ya kishikaji baada ya maisha kuwa tafu hapa home. Hawa wengi wao waliishia kujilipua kuwa ni warundi n.k
2. Kuna watu waliokuwa na mategemeo makubwa hasa kimasomo na kilichowapeleka majuu ni kuipata hiyo. Miongoni mwao wapo waliosongwa na mitikasi na kushitukia mambo sivyo kama walivyodahani, wameishia kubeba box wakiwa na mategemeo kuwa siku moja jambo litakuwa ndilo. Wengine walifanikiwa kupandisha shule, lkn wakapata opportunity huko huko, na ndio tunaowaona wachache wakifika Tz, japo mara chache chache
3. Wapo walioandaliwa kuwa Tanzania ni mradi wao, hivyo hawa walipelekwa kwa nia ya kwenda kujionoa ili warudi kuja kuchukua madaraka. Hawa mida mingi mambo yao yako mchongo, na ndio wanaoshiriki kuhamasisha wenzao sio kwa madhumuni ya kumbadilisha mtanzania, ila ni kujiimarisha asijekuwa nje ya mfumo. Si unajua tena kuonana na viongozi wa kitaifa sio ishu hasa mnapokuwa wachache? Hawa wanawatumia WaTz wenzao ughaibuni kama daraja la kujenga cv zao. Vinginevyo, matawi na wanasiasa wenye nguvu ni wale waliopo nchini! Kwa hiyo wafungue hata matawi elfu, sio tija sana!
Nono,
Umeitoa inavyotakiwa; Spot on.
 
Wajue viongozi wako wa tawi la CCM Uingereza:
Mwenyekiti :Maina Owino
Katibu :Susan Mzee
Katibu-Uchumi Na Fedha :Alan Kalinga
Katibu-Siasa na Uenezi :Moses Katega

Kama mtu anajua hawa wamejilipua au baadhi ya wanachama ,tuwafahimishe wasomaji wote wa JF ,tuone hypocrisy zao!
Kigumu chama cha mapinduzi!
 
Hakuna aliyejilipua kati ya hawa na kuomba Ukimbizi wa Kisiasa nchini Uingereza?

CCM DATABASE


WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA TAWI 2007

1. Ndugu Maina Owino - Mwenyekiti
2. Ndugu Susan Mzee - Katibu
3. Ndugu Moses Katega - Katibu wa Siasa na Uenezi
4. Ndugu Alan Kalinga - Katibu wa Uchumi na Fedha


WENYEVITI WA MASHINA KATIKA TAWI
5. Ndugu Victor Mgoya – Shina la Reading
6. Ndugu Peter Gabagambi – Shina la Birmingham
7. Ndugu Kapinga Kangoma - Shina la Southampton
8. Ndugu Frank Mkiza - Shina la Islington London
9. Ndugu Wencheslous Ikumla - Shina la North London
10. Ndugu Daudi Mwakimwagile - Shina la Manchester


WAJUMBE WALIO CHAGULIWA NA MKUTANO MKUU WA TAWI
11. Ndugu Geoffrey Kibogoyo
12. Ndugu Victor Mashamba
13. Ndugu Geraldine Mapundi
14. Ndugu Sigsbert Rutajunara
15. Bi Vicky Kamata
16. Ndugu Salim Abji
17. Ndugu Gomoka John
18. Ndugu Tino Msei
19. Bi Rahma Lupato
20. Ndugu Khalil Kungulilo
21. Bi Rehema Songambele
22. Ndugu Maira Migire
23. Bi Tuli Ngonya
24. Ndugu Osango Apolo
25. Ndugu Jeffa Gado
26. Bi Lily Barongo
27. Ndugu Denis Safari
28. Ndugu Mossy Nyakisinda
29. Ndugu Bethuel Maziku
30. Ndugu Richard Mpopo
31. Bi Semeni Mshauri
32. Ndugu Dani Mzee
33. Ndugu Adelika Kanyoni
34. Ndugu Noel Mtali
35. Ndugu Geraldine Mapundi


WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA TAIFA 2007

Wakati huo huo ni mwanachama wa CCM?Tuambieni wana JF mlioko huko Uingereza!!!
 
Hi!
Can you recollect ethical practices please! It shouldn't be the matter of emulation, copying or replication, but ethical politics, period.

Umeshaweka period, I must concur with you brother!
 
sijaona bado mtoto wa fisadi hapo juu au majina yanaendelea!!!?
 
Kwa kweli mdau umekosa cha kufanya na umesahau au haujui majukumu ya chama chochote cha siasa. Kwa muono wangu ccm wako sahihi kwa kufungua matawi nje ya nchi ili kukijenga chama chao ndani na nje. Lakini kubwa zaidi wao waliliona hilo mapema wakalipatia uhalali wa kikatiba ndani ya chama chao wakayaainisha matawi ya nje ya nchi kama sehemu ya matawi yao. Nadhani hii ni njia bora kwa chama makini kinachaotaka kuendelea na kuimarika kuwa na watu nje ya nchi wanaojua nini kinaendelea duniani practically na hivyo kikishauri chama chao nini cha kufanya kuenda sambamba na mabadiliko yaliyoko duniani.
 
wajue viongozi wako wa tawi la ccm uingereza:
Mwenyekiti :maina owino
katibu :susan mzee
katibu-uchumi na fedha :alan kalinga
katibu-siasa na uenezi :moses katega

kama mtu anajua hawa wamejilipua au baadhi ya wanachama ,tuwafahimishe wasomaji wote wa jf ,tuone hypocrisy zao!
Kigumu chama cha mapinduzi!

kwa hao hapo juu, mkuu usipoteze muda wako, wote wako kihalali huko united kingdom na hawajajilipua, ni watanzania halisi, unaposema "au baadhi ya wanachama" .......ooopss!!! Hilo sina ufahamu
 
kwa hao hapo juu, mkuu usipoteze muda wako, wote wako kihalali huko united kingdom na hawajajilipua, ni watanzania halisi, unaposema "au baadhi ya wanachama" .......ooopss!!! Hilo sina ufahamu


Mkuu mbona unatetea kwa nguvu zako zote, upo kwenye hiyo list nini ama unahofia wakiongeza jina moja tu unaweza tokea..hahahah. wabongo bwana kama kuna mtu hajaona hilo suala la matawi ya chama kuanzishwa huku mtoni kuwa ni tatizo basi ana yeye ndio anamatatizo
 
Back
Top Bottom