bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Ila events nyingi nimeona ni za Europe,najua wapo wanafanya kazi kwa umakini na ubaguzi,sio kila mtu ni mteja wao,ndio nauliza kua hata sisi wananchi wa kawaida wa bongo tuna access na "such a lucrative market"?Zipo sana hasa Eastern Europe na Asia.
Hebu ingia humo kwenye huo uzi utakutana na makamaria waliobobea watakupa majibu mazuri kuliko yakwangu yaki amateurIla events nyingi nimeona ni za Europe,najua wapo wanafanya kazi kwa umakini na ubaguzi,sio kila mtu ni mteja wao,ndio nauliza kua hata sisi wananchi wa kawaida wa bongo tuna access na "such a lucrative market"?
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo sana hasa Eastern Europe na Asia.
Tunaomba ushahidi mkuuInawezekana huko Asia na Europe zipo...Lakini kwa Tanzania ninao uhakika zaidi na ushahidi....Ligi Kuu ya Tanzania Bara ni rushwa mtupu...rushwa inahusisha wachezaji, marefarii, makamisa na viongozi pamojana mashabiki au wanachama wa klabu...Yaani ni rushwa mtindo mmoja...ndiyo maana tukienda nje tunachapwa 5 na kuendelea...
Mkuu hii inshu inahusisha mtandao mpana sana zaidi ya unavyodhani..usitegemee kwa mtu tu "local" ajue kinachoendelea..kuna high rank officials ndio wanachanga karata zao na kuwashirikisha "wajanja" wachache wenye "kifua"...Jana gorge owino beki wa Kenya inasemekana kwenye career yake aliuza mechi zaidi ya 50 za National team ya Kenya.
Its huge market, nataka niwe cartel wa East Africa within a month nitakuwa super rich. Nahitaji members kufanikisha hili if you are ready check me out.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna documentary moja iko YouTube ni nzuri sana itakufungua na kujua mengi sana juu ya hii biashara yenye mkwanja mpana. Hawa jamaa wana stake 6 figure... Mabilion ya pesa.Mkuu hii inshu inahusisha mtandao mpana sana zaidi ya unavyodhani..usitegemee kwa mtu tu "local" ajue kinachoendelea..kuna high rank officials ndio wanachanga karata zao na kuwashirikisha "wajanja" wachache wenye "kifua"...
Dejavu nipe link nicheck Cartel wanavyomake pesa...Kuna documentary moja iko YouTube ni nzuri sana itakufungua na kujua mengi sana juu ya hii biashara yenye mkwanja mpana. Hawa jamaa wana stake 6 figure... Mabilion ya pesa.
But ulaya ishu iko very simple kufix matokeo sababu hadi amateur league zipo kwenye betting fixture za kampuni nyingi.
Kuna Mhindi mmoja huyo kashindikana yeye anafix hadi mechi za UEFA na World cup but cartel mkubwa anaefinance anatoka Singapore.
Ile documentary imefukua mengi sana na wenyewe waliokuwa wanapanga mechi ndio waliokuwa wanasimulia unyambisi waliokuwa wanaufanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tips,ni match ambazo zimepangwa matokeo,mara nyingi ni "tips" za correct scoreHiyo ticket ya paun 100 inakuwa mkeka ambao ushachezwa au ni tip?
Amateur league za Germany, Ukraine, Cyprus, e.t.c watu wanapanga matokeo kila leo na cartel wanapiga megga profit hadi ulaya inafikiria kuzuia haya makampuni yasiziweke hizi mechi kwenye betting fixture zao sababu hawa watoto wanapewa hela kubwa wakiwa wadogo sana na kuua talents zao.Sio tips,ni match ambazo zimepangwa matokeo,mara nyingi ni "tips" za correct score
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo documentary inaitwaje?so inawezekana kabisa watu kadhaa kuvujishiwa hizi taarifa.Kuna documentary moja iko YouTube ni nzuri sana itakufungua na kujua mengi sana juu ya hii biashara yenye mkwanja mpana. Hawa jamaa wana stake 6 figure... Mabilion ya pesa.
But ulaya ishu iko very simple kufix matokeo sababu hadi amateur league zipo kwenye betting fixture za kampuni nyingi.
Kuna Mhindi mmoja huyo kashindikana yeye anafix hadi mechi za UEFA na World cup but cartel mkubwa anaefinance anatoka Singapore.
Ile documentary imefukua mengi sana na wenyewe waliokuwa wanapanga mechi ndio waliokuwa wanasimulia unyambisi waliokuwa wanaufanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee hiyo stake ni changamoto kidogo,kama nikipata mtu wa kushirikiana naye hakuna nomaAmateur league za Germany, Ukraine, Cyprus, e.t.c watu wanapanga matokeo kila leo na cartel wanapiga megga profit hadi ulaya inafikiria kuzuia haya makampuni yasiziweke hizi mechi kwenye betting fixture zao sababu hawa watoto wanapewa hela kubwa wakiwa wadogo sana na kuua talents zao.
Vipi Huyo jamaa yako ni mkweli au miyeyusho?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo documentary inaitwaje?so inawezekana kabisa watu kadhaa kuvujishiwa hizi taarifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
ingia hapa documentaryDejavu nipe link nicheck Cartel wanavyomake pesa...