bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Hii ishu ya watu online kusema kua wanadeal na kuuza mechi zilizopangwa matokea kwa ajili ya betting(wazee wa mikeka) inaukweli wowote?
Angalia mfano kama huyu mtu yeye nimeona sahivi ticket ya 3 ya Correct Score za bet365 zote zinatiki,ukimuuliza anasema anaziuza kwa 100€ na ni hakika inajibu,total rate kama ya 500 hivi!
Nafahamu kua zipo cartels kabisa zinazojihusisha na frauds za aina hii,ila sikufikiria wanaweza wamefika mpaka "grassroots".
Vipi kampuni za bongo,msiache kufuatilia ishu kama hizi kwani ni balaa.
NB;
Wazee kwani 100€ si unaweza ipata ukatusua mihela??
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia mfano kama huyu mtu yeye nimeona sahivi ticket ya 3 ya Correct Score za bet365 zote zinatiki,ukimuuliza anasema anaziuza kwa 100€ na ni hakika inajibu,total rate kama ya 500 hivi!
Nafahamu kua zipo cartels kabisa zinazojihusisha na frauds za aina hii,ila sikufikiria wanaweza wamefika mpaka "grassroots".
Vipi kampuni za bongo,msiache kufuatilia ishu kama hizi kwani ni balaa.
NB;
Wazee kwani 100€ si unaweza ipata ukatusua mihela??
Sent using Jamii Forums mobile app