Match Fixing: Mamelodi inataka kuwabeba Al Hilal ili wasije kukutana na Al Ahly huko mbeleni

Na game ndo inakwisha kwa drawa,ibenge anasonga kwa point 11 na msouth anaenda kumalizana na coton
Ana point 10 Al Hilal na mechi na Al Ahly akifungwa goli kwa tofauti ya mawili basi wanatolewa
 
Mbona mnaendekeza kulia Lia?
 
Ukumbuke kuna M-bongo mwenzetu hapo IBENGE wewe acha akiwashe japo kweli wamebebana ata ingekua wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…