changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Ana point 10 Al Hilal na mechi na Al Ahly akifungwa goli kwa tofauti ya mawili basi wanatolewaNa game ndo inakwisha kwa drawa,ibenge anasonga kwa point 11 na msouth anaenda kumalizana na coton
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana point 10 Al Hilal na mechi na Al Ahly akifungwa goli kwa tofauti ya mawili basi wanatolewaNa game ndo inakwisha kwa drawa,ibenge anasonga kwa point 11 na msouth anaenda kumalizana na coton
Mbona mnaendekeza kulia Lia?Wanachokifanya Mamelodi leo hata wanavyocheza ni wazi kabisa wanataka kuipa Matokea mazuri Al Hilal.
Goli la kwanza la Mamelodi ni la bahati mbaya tu lakini wakaamua kuwazawadia wasuda goli la kusawazisha kiboya kabisa.
Ubora wa kipa wa Mamelodi na beki zake si wa kufanya Uzembe huu. Inaonekana Gari la Mwarabu limeshawaka sasa imeanza kuwatisha wasauzi. Hii ni match fixinga ya wazi kabisa. Sijajua hiyo Sare itakuwaje (labda kama watawazawadia lingine) lakini Mwarabu anataka kwenda kutoa adhabu kali sana kwa msudan. Mamelodi wanaharibu ladha ya soka aiseee. Na sidhani kama bosi ambae ndo mkuu kule CAF kama atasema kitu
Africa ni shida sana.
Ya kweli hayo kuwa kapewa moyo? Maana mpira sijaangalia. Penati kapaisha au kipa kacheza?Wakati anapiga kuna msauzi kamfuata kumpa moyo.. na wamekosa.
Mwarabu anatumia majini sijui naye
Bado mkuu, Al Hilal atapigwa kipigo Cha mbwa mwitu! Kwa kifupi amedandia mtumbwi wa vibwengo😃Al Ahly nje ya mashindano.