Match ya Liver na Spurs: Ingekuwa Bongo...huyu paka engepona kweli?

Match ya Liver na Spurs: Ingekuwa Bongo...huyu paka engepona kweli?

Dark City

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2008
Posts
16,253
Reaction score
11,626
Nimecheka sana kumwona paka aliyeingia uwanjani wakati Liver wanacheza na Spurs....Hata hivyo nimefurahi zaidi kwa jinsi ambavyo ametendewa kwa ukarimu na wadau wote.


Ingekuwa bongo...unadhani ingetokea nini?

DC!!
 
Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni, imebidi mpira usimame kwa dk kama 4 hivi kupisha paka aliyeingia uwanjani wakati mechi ikiendelea. Ingekuwa bongo, leo angeshikwa mtu uchawi.
 
Alikuwa na rangi gani? Mwekundu au mweupe? Ken Dagleish alionekana Bagamoyo Mlingotini.
 
Natamani huyu paka angekuwa huku bongo na angeingia uwanjani siku ya mechi ya simba na yanga.we wiki nzima habari hii ingetawala kwenye vyombo vya habari. Unakumbuka yule mbwa wa polisi alieingia uwanjani na kumkimbiza Haruna Moshi Bobani. Basi zilikuja taarifa kuwa yule mbwa alimfukuza Boban kwa sababu alikuwa ananukia MARIJUANA. Bongo kiboko!
 
vichwa vingine sijui vikoje..unatwambia paka badala ya matokeo.
 
Wangeitaji damu yake kwanza kabla ya mpira kuendelea
 
vichwa vingine sijui vikoje..unatwambia paka badala ya matokeo.

Dunia kama kijiji kwa sasa fungua website ya www.goal.com utapata matokeo pamoja na taarifa zote muhimu. Anyway matokeo yalikuwa bila bila 0-0.
 
Back
Top Bottom