Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Kaa tayari. Mtagongwa tu kote kote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu si wana kikosi kipana hawa mibumunda? Makocha wawili pia. Yupo yule yule kipupunge wa siku zote na huyu makeke mpya. Kama vipi wamchukue mshana jr awe mchawi waoHaina haja ya kuharisha kwani iyo mechi si ni moja ya mazoezi au kipimo kwa timu husika mfano simba akicheza iyo mechi ndio inamuongezea ufanisi kwenye ligi ya mabingwa
Mi naungana nawe! Watu hapa, wanaiwazia Simba tu, labda ndio wenye kutaka hiyo nafuu, wanasahau kuwa Yanga inatakiwa kucheza na KMC 22/2/2023, na wakati huo huo wanatakiwa huko Mali 26/2/2023. Na sijui wanaopinga hili, wanajua umbali wa kufika huko. Simba yeye anaenda Kampala tu, hapo Uganda!Uko sahihi,ila Nina uhakika inaweza kuhairishwa
Wala hatuwaziMi naungana nawe! Watu hapa, wanaiwazia Simba tu, labda ndio wenye kutaka hiyo nafuu, wanasahau kuwa Yanga inatakiwa kucheza na KMC 22/2/2023, na wakati huo huo wanatakiwa huko Mali 26/2/2023. Na sijui wanaopinga hili, wanajua umbali wa kufika huko. Simba yeye anaenda Kampala tu, hapo Uganda!
Vibabu vyao vimekata upepoKweli mambo yanabadilika. Simba wa kuomba poo leo?
Hakuna kughairi kitu. Chezeni mpira
Mlizoea Sana misimu iliyopita mbeleko za viporo. Safari hii bampa to bampa. Hakuna kichaka cha kujificha. Azam anawapakata na Kampala mnapakatwa
Mkamlete manzoki tena aje kuhesabu kura
[emoji16][emoji16][emoji16]Halafu si wana kikosi kipana hawa mibumunda? Makocha wawili pia. Yupo yule yule kipupunge wa siku zote na huyu makeke mpya. Kama vipi wamchukue mshana jr awe mchawi wao
Hakuna kuahirisha wala kuweka kiporo msimu huu kila mtu ashinde mechi zakeNashauri match za Simba na Yanga, Katikati ya wiki zisogezwe Mbele! Kupisha maandalizi ya match za Kimataifa za weekend
Amechungulia akaona tofali 3 za zege zinaenda upande alipo Manulahapana,kwani umeiona nini
Mi naungana nawe! Watu hapa, wanaiwazia Simba tu, labda ndio wenye kutaka hiyo nafuu, wanasahau kuwa Yanga inatakiwa kucheza na KMC 22/2/2023, na wakati huo huo wanatakiwa huko Mali 26/2/2023. Na sijui wanaopinga hili, wanajua umbali wa kufika huko. Simba yeye anaenda Kampala tu, hapo Uganda!
Wanalipwa kwa ajili hiyo, na hap kati ya match na match inakubalika, kwanini waahirishe?Nashauri match za Simba na Yanga, Katikati ya wiki zisogezwe Mbele! Kupisha maandalizi ya match za Kimataifa za weekend
ushauri mzuri tatizo letu wabongo tumeweka mbele ushabiki kuliko kuangalia Hali halisi, Mechi za kimaifa zina intensity kubwa hivyo kuchosha Sana wachezaji, angalia Yanga alivyocheza na kagera baada ya kutoka Kwa club African, Misri wako juu yetu Ila huko timu ikiwa kimaitaifa inakua na viporo maana huko inapambania taifa. Hili sio la kutazama kiushabiki tena Lina tija Kwa Yanga kuliko hata simbaNashauri match za Simba na Yanga, Katikati ya wiki zisogezwe Mbele! Kupisha maandalizi ya match za Kimataifa za weekend
Unalinganisha usafiri wa Ulaya na wa Afrika? Huku ni kawaida kuambiwa safari ya ATC imeahirishwa mpaka jioni au keshoMan Utd anacheza leo mechi ya ligi, alhamisi ana mechi na Barca na jumapili ana fainali ya Carabao na Newcastle Utd.
Hivyo basi haina mantiki kuhairisha mechi yoyote