OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,497
- 605
Jamaani nasumbuliwa na mate mazito kwani ninatoa makoozi mazito sana utafikiri mwenye kikozi sikooi ila mate ndoo yanatoka mazito naombeeni msaada nimejaribu kutumia madawa mengi bila mafanikio nifanyeeje kwani wakati nikiamkaa asubuhi ndoo kabisa natoa makozi mazito sana.