Mateja wa UNGA ni zao la SIASA

Mateja wa UNGA ni zao la SIASA

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Hii biashara kiasi kikubwa inafanywa na wanasiasa wenye pesa na connection. Kuimaliza ni Kuhukumiwa KIFO bila kuchelewa. Ona (video) wanavyoharibu vijana mtaani.
 
Hii biashara kiasi kikubwa inafanywa na wanasiasa wenye pesa na connection. Kuimaliza ni Kuhukumiwa KIFO. Ona (video) wanavyoharibu vijana mtaani.
Waliwahi kutajwa Wanasiasa wakubwa katika biashara hiyo la ajabu bado wapo wanapeta.
 
Wanaojihusisha na biashara hii MUNGU huwachapa wao na uzao wao......fanyeni uchunguzi....
Na wale wanaowasaidia mateja....
Hupata baraka....ref.CHANGAMOTO NI MATUMAINI
..........
 
Hii biashara kiasi kikubwa inafanywa na wanasiasa wenye pesa na connection. Kuimaliza ni Kuhukumiwa KIFO. Ona (video) wanavyoharibu vijana mtaani.
Depopulation agenda, madawa, ushoga na ukiwagusa wanakuua.
 
PUMBAFU KABISA.

MMESHINDWA KUWALEA WATOTO WENU MNAUSINGIZIA SELIKALI.

Mithali 22:6
Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.


Proverbs 22:6
Train up a child in the way he should go, And when he is old he will not depart from it.


Achani kuisingizia SELIKALI Kwa Kila jambo Hiyo ni Biashara kubwa Duniani.

WATOTO WAZURI MNASHINDWA KUWALEA WANAKUWA MITEJA.

MNAUSINGIZIA SELIKALI.

PUMBAAFFFUUUUUUUUUUUU KABISSA....!!!!!!!
 
Hii biashara kiasi kikubwa inafanywa na wanasiasa wenye pesa na connection. Kuimaliza ni Kuhukumiwa KIFO. Ona (video) wanavyoharibu vijana mtaani.
Sikatai ulisemalo kuhusu "wanasiasa" ni ukweli usiopingika, kwani huko nyumaKimataifa, tulijionea likiibuka disaster la USA kama nchi wakijiingiza kwenye kuuza na kusambaza madawa ya kulevya (Rejea kisa cha Iran -Contra).

Pia hivi sasa USA wanishangaza dunia kwa kukasirika, baada ya kutandikwa na kutimuliwa Afghanistan na Taliban, sasa hivi USA wanalalamika kwanini taliban wanapiga marufuku na kuteketeza maao ya Opium ambayo ni chanzo kikuu cha madawa ya kulevya yanayojulikana kama "heroin". Ni ajabu, Taliban wanateketeza madawa ya kulevya yaliyowaathiri raia wengi wa Afghanistan kipindi wapo vitani na MATO, sasa waameshika madaraka wanaondoa huo uozo, USA wanakasirika. Inashangaza sana lakini ndiyo ukweli.


Kwa upande meengine tunaona kanisakatoliki, ambalo ni kanisa kubwa duniani, ndilo linalochochea madawa ya kulevya na maasi mengine. Ushahidi huu hapa chini:

Padri wa Kanisa Katoliki nchini Italia amewekwa chini ya kifungo cha nyumbani kwa madai ya kuiba zaidi ya dola 117,000 za Marekani katika fedha za kanisa na michango ya wapagani kwa ajili ya madawa ya kulevya na sherehe za ngono za mashoga nyumbani kwake.

Mchungaji Francesco Spagnesi, 40, wa Prato, Italia, ambaye alijulikana kwa homilies yake ya kuvutia, alikamatwa baada ya polisi kudaiwa kuwa mwenzake wa chumba alikuwa ameingiza lita ya dawa ya ubakaji ya GHB kutoka Uholanzi,

Soma zaidi: Italian priest allegedly stole church funds for drugs, gay sex parties

madudu kama hayo ni mengi sana kanisani.

Huu mtandao wa madwa ya kulevya ni mkubwa sana duniani na unahatari kubwa sana, ni mpango madhubuti wa kishetani.
 
Hii biashara kiasi kikubwa inafanywa na wanasiasa wenye pesa na connection. Kuimaliza ni Kuhukumiwa KIFO. Ona (video) wanavyoharibu vijana mtaani.
Hivi Hawa walivyolegea hivyo mtu mwenye Upwiru si anajipigia tu?
 
Sikatai ulisemalo kuhusu "wanasiasa" ni ukweli usiopingika, kwani huko nyumaKimataifa, tulijionea likiibuka disaster la USA kama nchi wakijiingiza kwenye kuuza na kusambaza madawa ya kulevya (Rejea kisa cha Iran -Contra).

Pia hivi sasa USA wanishangaza dunia kwa kukasirika, baada ya kutandikwa na kutimuliwa Afghanistan na Taliban, sasa hivi USA wanalalamika kwanini taliban wanapiga marufuku na kuteketeza maao ya Opium ambayo ni chanzo kikuu cha madawa ya kulevya yanayojulikana kama "heroin". Ni ajabu, Taliban wanateketeza madawa ya kulevya yaliyowaathiri raia wengi wa Afghanistan kipindi wapo vitani na MATO, sasa waameshika madaraka wanaondoa huo uozo, USA wanakasirika. Inashangaza sana lakini ndiyo ukweli.


Kwa upande meengine tunaona kanisakatoliki, ambalo ni kanisa kubwa duniani, ndilo linalochochea madawa ya kulevya na maasi mengine. Ushahidi huu hapa chini:

Padri wa Kanisa Katoliki nchini Italia amewekwa chini ya kifungo cha nyumbani kwa madai ya kuiba zaidi ya dola 117,000 za Marekani katika fedha za kanisa na michango ya wapagani kwa ajili ya madawa ya kulevya na sherehe za ngono za mashoga nyumbani kwake.

Mchungaji Francesco Spagnesi, 40, wa Prato, Italia, ambaye alijulikana kwa homilies yake ya kuvutia, alikamatwa baada ya polisi kudaiwa kuwa mwenzake wa chumba alikuwa ameingiza lita ya dawa ya ubakaji ya GHB kutoka Uholanzi,

Soma zaidi: Italian priest allegedly stole church funds for drugs, gay sex parties

madudu kama hayo ni mengi sana kanisani.

Huu mtandao wa madwa ya kulevya ni mkubwa sana duniani na unahatari kubwa sana, ni mpango madhubuti wa kishetani.
Hivi wewe bibi huwa kichaa?
Imeongelewa athari za dawa za kulevya wewe unahusisha dini na dawa za kulevya. Huwa una nyege zinakukaba.
 
Uzi ushavamiwa na bibi mfia dini
 
Hii biashara kiasi kikubwa inafanywa na wanasiasa wenye pesa na connection. Kuimaliza ni Kuhukumiwa KIFO bila kuchelewa. Ona (video) wanavyoharibu vijana mtaani.
Hakuna siasa hapo, hapo ni tamaa ya utajiri.

Huelewi ni nini maana ya siasa.
 
Back
Top Bottom