Mateka wa Israel Arbel Yahud; ataachiliwa huru Ijumaa ijayo, huku Israel ikiwaachilia wafungwa 30 wanaotumikia vifungo vya maisha

Mateka wa Israel Arbel Yahud; ataachiliwa huru Ijumaa ijayo, huku Israel ikiwaachilia wafungwa 30 wanaotumikia vifungo vya maisha

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

⚡️JUST IN:

An agreement has been reached regarding the Israeli prisoner Arbel Yahud; she will be released next Friday, while Israel will release 30 prisoners serving life sentences.—Hebrew Maariv Newspaper.
===============
⚡️Makubaliano yamefikiwa kuhusu mfungwa wa Israel Arbel Yahud; ataachiliwa Ijumaa ijayo, huku Israel ikiwaachilia wafungwa 30 wanaotumikia vifungo vya maisha.
Netanyahu, bado ana hasira baada ya kuona Hamas wamerudi upya ametoa tangazo Wapalestina, hawawezi kuruhusiwa kurudi kwenye makazi yao mpaka huyu
Mateka Yahud.aachiliwe alikuwa anajua amekufa Hamas hawawezi kuwa na majibu katumiwa video yupo hai.


View: https://x.com/suppressednws/status/1883559662450340021?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Gazeti la Kiebrania Maariv.
 
Kazi nzuli Hamas Waisrael wa mwakareli lazima wachafukwe!!! Kwanzia 2024 na 2025 watachafukwa zaid!!!!
 
Wanaukumbi.

⚡️JUST IN:

An agreement has been reached regarding the Israeli prisoner Arbel Yahud; she will be released next Friday, while Israel will release 30 prisoners serving life sentences.—Hebrew Maariv Newspaper.
===============
⚡️Makubaliano yamefikiwa kuhusu mfungwa wa Israel Arbel Yahud; ataachiliwa Ijumaa ijayo, huku Israel ikiwaachilia wafungwa 30 wanaotumikia vifungo vya maisha.
Netanyahu, bado ana hasira baada ya kuona Hamas wamerudi upya ametoa tangazo Wapalestina, hawawezi kuruhusiwa kurudi kwenye makazi yao mpaka huyu
Mateka Yahud.aachiliwe alikuwa anajua amekufa Hamas hawawezi kuwa na majibu katumiwa video yupo hai.


View: https://x.com/suppressednws/status/1883559662450340021?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Gazeti la Kiebrania Maariv.

HAMAS wanamoyo gani kuwapa mauwa awa mabint haaa wamewaonea kwakweli mabint Mmesusiwa kama zawadi ya kumbukumbu kutoka kwa Al habibi NETANYAHU
mabint Zawadi yao kubwa ni watoto kila bint anarudi kwao na zawadi y mtoto mmoja sio mauwa!!!!
kakalelewe na pesa za walipokodi wa israel vibint vipo zaid 30 sijui lkn na watoto wawe 30!!!! Sikunyengine waisrael wangekoma kuchukua mateka wapalestina!!!
na mabint wengi wasingekaa karibu na mipaka ya GAZA mana waisrael
tangu Utotoni wanafundishwa kuwachukia Wapalestina wawaone kama Wanyama
sasa bint akiwaza kichwani akinikamata mpalestine tu nakuwa mama mtoto wake
wapi wangesogea mbali na mpaka kuogopa MOTO
uku mipakani wangekaa Wanajesh tu tena wangebaki wakiume tu wakike wangewapanga kwengine mbali na MOTO!!!!! nawatakia asubui njema nyote.
 
Maamae Hamas ni wanaume, jamaa mpaka wamekuja kwenye meza ndio wanawapata watu wao, ushindi mkubwa sana huu kwa hamas, walifikiri kuuwa watu ingekuwa suluhisho
 
Back
Top Bottom