Matendo ya Sabaya: Ukweli ni kwamba tulipaswa kupata Serikali Mpya ila tatizo Katiba haisemi hivyo

mimi nilikuwa mwanachadema mara tu chama kilipo anzishwa mwaka 1992 na marehemu Bobu makani, ofisi zake kipindi hiko zikiwa mitaa ya kisutu.
Mbowe kakiharibu sana chama.
Kama kweli chadema tunataka kuimarika na kusonga mbele tunahitaji mabadiliko ya uongozi.
 
Maneno ya Sabaya kuwa alikuwa anatekeleza maagizo toka Juu ni mazito sana. Kwa kifupi ni kwamba Serikali ndiyo inayowatuma watendaji wake kuwaumiza/ kuwapora mali na fedha raia wake badala ya kuwatetea/kuwalinda dhidi ya maovu.

Sabaya katoa ushahidi mzuri sana kwa wananchi dhidi ya Serikali yao pamoja na Viongozi wakuu wa Serikali. Aibu kubwa Sana. Je maagizo hayo yaliishia Kwa Sabaya na Bosi wake wa wakati huo tu au hadi hivi sasa bado yanatolewa???
 
Ni kama kawatolewa kafara tu ila ukweli ni wengi tu walipaswa kuwajibika.
 
Je, Mama,Waziri Mkuu, IGP na Mkuu wa TISSS pamoja na waliowahi kuwa mawaziri wa mambo ya ndani bila kusahau RPC wa Kilimanjaro,OCD na wengineo hawakujua yaliyokuwa yanafanywa na Sabaya?
ulikosea hapo ☝️ nkajiuliza unajuaje kama baadhi hawakutimiza wajibu wao

ila hapa👇 ukaweka mambo sawa AHSANTE

Labda Mkuu wa TISS na wasaidizi wake wanaweza kuwa na la kujitetea iwapo walitimiza wajibu wao ila hawa watendaji wengine ama walipaswa kujiuzulu kupinga matendo ya Sabaya au kuchukua hatua.
 
ulikosea hapo ☝️ nkajiuliza unajuaje kama baadhi hawakutimiza wajibu wao

ila hapa👇 ukaweka mambo sawa AHSANTE
Inawezekana wewe ni member wa TISS na kuna unayoyajua kuhusiana na hii issue.
 
Mandela alipokaa jela miaka 27 aliharibiwa nini?
Akili zako hazina akili.
Mandela hajawahi kukata watu masikio, Wala Mandela hajawahi kupigilia watu misumari. Mandela akutumia namba feki za UN kuvamia wafanya biashara na kufanya unyang’anyi.
Mandela hakuwahi kubaka watoto wa kike kama Sabaya..
Muwe na adabu mnapoingia jukwaa hili , sio FB hapa.
 
Inasikitisha sana..
Bado yanaguswa matawi.
Shina na mizizi bado kabisa..

 
Sabaya type mbona ni wengi,sema tu ccm inawalinda wahalifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…