RASCO BOY
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 428
- 485
Unbeliavable Talent..Miaka 19, anapiga pasi za pirlo, ana-turn kama Xavi, Mnyonge tumnyonge, Haki yake tumpe..FUNDI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fellainihakuna player hata mmoja wa chama langu united anaemfikia huyu dogo
Tutawa Matteo Manywele afu nyie mtupe Manywele Fellainhakuna player hata mmoja wa chama langu united anaemfikia huyu dogo
Nyota njema....!Nadhani ni mapema sana kwa match mbili kujudge uwezo wa huyu mtu ila muda zaidi unahitajika kusema jambo kama hzi sifa ni stahiki au la.
Sent using Jamii Forums mobile app
yeah but ukizingatia kuwa ametoka ligi daraja la pili tena ufaransa moja kwa moja kucheza ligi kuu england anajua kwakweli, sema tu arsenal wampe muda angalau mpk msimu ukiisha atakua vzuri sana km atakua anapata muda wa kutoshaNadhani ni mapema sana kwa match mbili kujudge uwezo wa huyu mtu ila muda zaidi unahitajika kusema jambo kama hzi sifa ni stahiki au la.
Sent using Jamii Forums mobile app