Chelsea walimsajili Mateo kovacic kwa paund mil 57 kutoka real Madrid na tokea wamchue amekuwa Moto zaidi.Ni kiungo ninamkubali Sana ana offer vitu vingi yupo vizuri defensively, ana rate kubwa ya pass accurate, ana dribbling ability yaani ni full package
Uchezaji wake unavutia Sana as if unaangalia uchi wa mwanadada mwenye mvuto Kim Kardashian anafanya mpira unamtii ana control game ya mchezo anaifanya iwe yake. Liverpool wanamjua vizuri walipokutana kwenye game na Chelsea ya super cup haliwafanya viungo wa Liverpool waheme muda wote wa mchezo na sifa nyingine anayo huyu player ni uwezo wa kutuliza mchezo ikiwa pleasure yakushambuliwa ipo kwao.
NB: kovacic ni kiungo asieimbwa pale Chelsea utasikia wanatajwa Abraham,mount na pulisic lakini yeye ni Mara chache kusikika ktk midomo ya watu ingawa shughuli anayofanya uwanjani ni kubwa sana.
Uchezaji wake unavutia Sana as if unaangalia uchi wa mwanadada mwenye mvuto Kim Kardashian anafanya mpira unamtii ana control game ya mchezo anaifanya iwe yake. Liverpool wanamjua vizuri walipokutana kwenye game na Chelsea ya super cup haliwafanya viungo wa Liverpool waheme muda wote wa mchezo na sifa nyingine anayo huyu player ni uwezo wa kutuliza mchezo ikiwa pleasure yakushambuliwa ipo kwao.
NB: kovacic ni kiungo asieimbwa pale Chelsea utasikia wanatajwa Abraham,mount na pulisic lakini yeye ni Mara chache kusikika ktk midomo ya watu ingawa shughuli anayofanya uwanjani ni kubwa sana.