Mateso anayonipa jini mahaba

Oyaaa Nani huyo 🤣

Nipe handle
Soma

 
Cc Herbalist Dr MziziMkavu
 
Oyaaa Nani huyo 🤣

Nipe handle
Ukitembea especially usiku ukiwa kwenye mwanga na giza la kutosha unakua na vivuli vinne plus wewe mwenyewe wa tano sasa vile vivuli vinne vinavyokuzunguka wengine wanaona vivuli vitatu wengine viwili ila wengine wanaona vivuli vinne vinawazunguka wanatembea navyo

Soma

 
Usafi wako wa kiroho ndio salama yako,kinyume cha hapo atakusumbua sana...
 
Usafi wako wa kiroho ndio salama yako,kinyume cha hapo atakusumbua sana...
Soma

 
Hakuna njia nyepesi ninayoijua zaidi ya kuishi maisha yenye usafi sana wa kiroho,kaa mbali na dhambi na uwe mtu wa maombi na toba...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…