Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee!! Watz mmejazwa udinUna imani gani ya dini?
dah! Kazi kweli kweli. Kijana we angalia hao specialist watakusaidia. Inafaa waafrika tuamke. Sababu kubwa ya kupewa yesu na muhammad ni kuwa wakati tupo busy na mashairi yao wazungu na waarabu wanachukua Mali zetu. Issue hizo zishapitwa na wakati na sasa wanatupokonya kwa style nyengine. Hivi tutaamka lini kujua kua hizo ni namba za kitapeli tuuPole xana kijana. Kuna daktar wa magonjwa yote hata yaliyoshindika. Naye ni YESU KRISTO.Mtumainie yeye ktk kila jambo hakika utaona ukuu wake.
Helo mkuu pole sana una ugonjwa wa tinnitus unasikio sauti ya Muungurumo kama vile kengele au mvumo fulani wa sauti. Mimi ninayo dawa yake ukihitaji nitafute kwa wakati wako.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
Mimi mkristo RCUna imani gani ya dini?
Mkuu mtafute mtumishi wa Mungu mwenye nguvu, na uwe na imani.Wanabodi nawasalimu kila mmoja kutokana na umri wake,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nilizaliwa nikiwa mzima bila ulemavu wowote mpaka naingia kidato cha nne ndipo nikapata tatizo la kutosikia vizuri,tatizo hili limenitesa sana mpaka leo nimeishi maisha ya chuo kwa shida sana hasa kipindi cha darasani mpaka nikae mbele ndo nasikia,lakini kwa uaminifu wa Mungu nilimaliza chuo bila tatizo wala suprimentary yoyote ile! Nimetumia dawa za kila aina hasa dawa asili,nimetibiwa hospital ya rufaa morogoro mpaka na ear syringe bila mafanikio yoyote yale,Wameniandikia rufaa kwenda Muhimbili ili nikapewe kitu kinaitwa earphone lakini kuna doctor ameniambia kuwa pia hicho kifaa kinamadhara,!
Kuhusu ulemevu ni kwamba nasikia mda wote vitu vinaunguruma maskioni hivyo mtu akiongea nashindwa kuyanasa Maneno husika!
Ndugu kaka na dada ningependa kupata msaada wa mawazo kutoka kwenu na Mungu awabariki!
Ok! Asante nitajitahidi kumtafuta,then nitakutafta pm kwa maekezo zaidiMkuu mtafute mtumishi wa Mungu anaitwa Prophet S.S Rolinga yuko Mbezi beach Africana karibu na apartment za Sea breze. Usipopona njoo unitukane humu. Bado hana watu wengi hata kumuona ni rahis na ni BURE kabisa. Unaweza niPM km utahiyaj maelezo zaidi au tembelea ukutasa wake kuna namba zao www.facebook.com/prophetrolinga
Tupo Nairobi, nitakutumia mawasiliano.Wapi mlipo ndg niwatembelee?
NitashukuruTupo Nairobi, nitakutumia mawasiliano.
Wapi mlipo ndg niwatembelee?
I hope now you are happyOk! Asante nitajitahidi kumtafuta,then nitakutafta pm kwa maekezo zaidi
Mkuu mleta mada hapo juu AMEPONA TAYARI nlimuelekeza aende kwa mtumishi wa Mungu na alipokwenda Jumapili hii amepona kabisa. hata wewe hao watoto wanaweza kupona kwa Uweza wa Mungu.Dah hizi case ni very complicated kwa apa Bongo....Mie Nina mtoto wa Dadaangu alizaliwa mzima kabisa alipofika darasa LA saba akaanza hali Fulani km yakutosikia vizuri mpaka anamaliza kidato cha NNE akawa hasikii kabisa kuongea nae mpaka akutazame kwenye lips ndo atakuelewa....Matibabu wameangaika nae sana hadi vifaa vya masikio alipewa lakini havikusaidia kitu....Hivi sasa yupo chuo na ana perform vizuri tu ila ndo kawa kiziwi kabisaaaaa...Ajabu ana mdogo wake yupo chuo nae alianza dalili za kutosikia akiwa O'level japo yeye angalau anasikia kwa mbali ila akikupa kisogo hasikii....Ajabu ni kua wote wamezaliwa wakiwa wazima kabisa na wanaongea japo [HASHTAG]#Tone[/HASHTAG] yao imebadirika kwakiasi Fulani...
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Mkuu mleta mada hapo juu AMEPONA TAYARI nlimuelekeza aende kwa mtumishi wa Mungu na alipokwenda Jumapili hii amepona kabisa. hata wewe hao watoto wanaweza kupona kwa Uweza wa Mungu.
Ndugu alienda kwa pastor yupi tusaidiane mkuuI hope now you are happy
Maana nmeambiwa umepona tayari
Duh...kuna siku nilishinda Bugando kuanzia saa 12 asbh nikaja kuonana na Huyo dokta Bunane saa 12 jion.....yaan kuniangalia tu kwa macho na maelezo yangu simple tu akanijibu nina allergy yaan niliaa nae dak 5 tu....nioichokaTafuta specialist yeyote wa ENT atakusaidia,mie huyu yuko Mwanza anaitwa Doc Buname,ila pia kuwa makini sana,maana mie kwa mtoto nilionana na maspecialist wawili kila mmoja majibu yake yakawa yanakinzana na mwenzie,nikajaribu kureason mwenyewe nkaamua kustick na mmoja ambaye alimponyesha wakati mwenzake alidai mtoto afanyiwe upasuaji wa koo!!