Hao ni makomandooUpelelezi wa polisi nchi ni kukupiga mpaka ukiri makosa ambayo hukufanya
Wanafurahisha sana hawa watu, kama wanaonewa wanaogopa nini na kesi iko mahakamani? kwa nini wanatumia nguvu kubwa sana kuaminisha umma kwamba watu wao wanaonewa? waache mahakama ifanye kazi yake.akili yako ndipo ilipoishia ndiyo maana ungeacha wanaume waongee wewe kampikie mumewako chakula baadae akupindue akunyandue
Mara nyingi mtu mhalifu hutumia nguvu nyingi kuuonyesha uma kuwa hana kosa wacha mahakama ihukumu ndipo watakuja kushangaa kuwa kumbe mbowe alikuwa gaidi kweliWanafurahisha sana hawa watu, kama wanaonewa wanaogopa nini na kesi iko mahakamani? kwa nini wanatumia nguvu kubwa sana kuaminisha umma kwamba watu wao wanaonewa? waache mahakama ifanye kazi yake.
Kuna watu hapa Tanzania wameanza kujitokeza kama vile hawakuzaliwa. Hata ungekuwa ni mwanajeshi huruhusiwi kumtesa mateka!magaidi hayo bila kuyafinya unafikiri yangesema ukweli mpaka kumtaja mbowe na alivyowatelekeza wakaamua kumwaga ukweli wacha waozee jela na mbowe mwenyewe jela tuu
Thank God,ni watu waliopitia mafunzo magumu ya ukomandoo,ingekuwa raia wa kawaida,wameishakufa tayari.Baadhi ya Picha za makovu ya watuhumiwa wa Ugaidi wanaoshitakiwa pamoja na Mbowe zimeanza kuonekana hadharani , hawa watu waliteswa kinyama ! Hii nchi haikuwahi kufikia unyama kama huu , tena kwa tuhuma za uzushi zilizojaa uongo mtupu ! kisa ni Kumkomoa Mbowe , Inasikitisha sana !
Hahaha mkuu unawabana kweli kweli. Akijibu kiakili ulichomuuliza ni beep.nyundo ushushe wewe uliyekimbia milembe? unashabikia ugaidi unaakili timamu wewe?
yaani kudai katiba ndiyo waachwe wahalifu kama hawa uraiani kweli?hata ingekuja hiyo katiba wangetenda ugaidi tu hawafai wanyongweTanzania tumefikia hatua ya unyama huu wote kisa Katiba mpya na kuhodhi madaraka ya nchi mambo ambayo ni haki ya wananchi kuyadai
Jamaa wamepitia kwenye bonde la mauiti aisee.
Hujakosea kujiita boya. Tena Ni boya haswaaaa.magaidi hayo bila kuyafinya unafikiri yangesema ukweli mpaka kumtaja mbowe na alivyowatelekeza wakaamua kumwaga ukweli wacha waozee jela na mbowe mwenyewe jela tuu
Acha uongo na uzushi unachukua picha za watu wengine unaleta hapa, isitoshe hata gwantanano hakuna alipita bila kubinywa bado mbowe abinywe Sana tu USSRBaadhi ya Picha za makovu ya watuhumiwa wa Ugaidi wanaoshitakiwa pamoja na Mbowe zimeanza kuonekana hadharani , hawa watu waliteswa kinyama ! Hii nchi haikuwahi kufikia unyama kama huu , tena kwa tuhuma za uzushi zilizojaa uongo mtupu ! kisa ni Kumkomoa Mbowe , Inasikitisha sana !
Taarifa zinaonyesha kwamba msimamizi wa unyama wote huu ni Ramadhan KingaiTanzania tumefikia hatua ya unyama huu wote kisa Katiba mpya na kuhodhi madaraka ya nchi mambo ambayo ni haki ya wananchi kuyadai
Jamaa wamepitia kwenye bonde la mauiti aisee.
Uzi umeuandika kwa hisia zaidi kuliko uhalisia.Baadhi ya Picha za makovu ya watuhumiwa wa Ugaidi wanaoshitakiwa pamoja na Mbowe zimeanza kuonekana hadharani , hawa watu waliteswa kinyama ! Hii nchi haikuwahi kufikia unyama kama huu , tena kwa tuhuma za uzushi zilizojaa uongo mtupu ! kisa ni Kumkomoa Mbowe , Inasikitisha sana !
Tunaomba radhi kwamba hatutaweza kuwaonyesha picha za majeraha yote , kutokana na Maadili ya Kitanzania kwa vile majeraha mengine yako maeneo yasiyoruhusiwa kuwekwa hadharani , bali itoshe tu kusema kwamba KILA ALIYEHUSIKA NA UNYAMA HUU AWE HAI AU AMEKUFA ATALIPA .
View attachment 1946196
Majina huumbaHujakosea kujiita boya. Tena Ni boya haswaaaa.
Ndio dawa ya magaidi duniani koteGuantanamo Mbweni?
Wapuuzi hawa wanadhani wangelipua vituo vya mafuta watu wasinge umia na kufa wacha wafinyweMnahangaika nini kutafuta huruma kwa wananchi? acha mahakama ifanye kazi yake, mnajitekenya na kucheka wenyewe..mnafurahisha sana.
Unavyoiongelea hii kesi kama vile una utaalam wa masuala ya usalama.ugaidi wa kukata miti na kuiweka barabarani kuanzia morogoro hadi Mbeya ?
Wewe siyo hakimu mbona watoa hukum?Picha za makovu ya watuhumiwa au picha ya makovu ya mtuhumiwa? Afu picha hii umeileta leo baada ya mawakili wenu kuulizwa sababu ya kumpa Mbowe maji peke yake kila siku, huku mkiwatelekeza wenzake aliokamatwa nao. Unafiki ni kitu kibaya sana hapa dunia na ndio maana Mungu anaamua kushusha viboko vyake kwa njia hii tunayoiona mahakamani.
Huyu na wenzake wamefilisika kifikranyundo ushushe wewe uliyekimbia milembe? unashabikia ugaidi unaakili timamu wewe?
Kwa magaidi hapo hakuna unyama duniani kote muulize huyo USA ambassador CIA agent akupe ukweliHivi sheria zingefuatwa unadhani tungeandika haya ? hivi mateso ya kinyama namna hii ili kutengeneza uongo maana yake nini ?