Mateso makubwa waliyoyapata watuhumiwa wa Ugaidi walioshitakiwa pamoja na Mbowe yanatisha, Inashangaza wamewezaje kuwa hai hadi sasa

Mateso makubwa waliyoyapata watuhumiwa wa Ugaidi walioshitakiwa pamoja na Mbowe yanatisha, Inashangaza wamewezaje kuwa hai hadi sasa

nyie marafiki na magaidi inamaana na nyinyi ni magaidi wangefanikiwa huo ugaidi wao leo ungeongea hicho kinyesi chako unachoharisha hapa? kaa kimya wacha wale walichokuwa wanapanda washenzi tu hao
Amesahau mabomu ya CHADEMA ya olasiti huyu kiazi

USSR
 
Hakuna kitu kama hicho, weka mezani ushahidi wa hayo mateso, unataka kutueleza hapa wote wenye makovu wameteswa na polisi? kwa nature ya ilokuwa kazi yao wanakisa vipi makovu?
Kapuuzi haka kana fikiri kila mtu ni mwehu kama yeye

USSR
 
Acha uongo na uzushi unachukua picha za watu wengine unaleta hapa, isitoshe hata gwantanano hakuna alipita bila kubinywa bado mbowe abinywe Sana tu USSR
sasa unachobisha ni kipi ?
 
magaidi hayo bila kuyafinya unafikiri yangesema ukweli mpaka kumtaja mbowe na alivyowatelekeza wakaamua kumwaga ukweli wacha waozee jela na mbowe mwenyewe jela tuu
Mbona sentensi yako inajipinga yenyewe?

yaani unasema kuwa wamefinywa hadi wakatoa siri, alafu hapo hapo unasema walitelekezwa na mbowe ndio wakaamua kutoa siri.
 
Tanzania tumefikia hatua ya unyama huu wote kisa Katiba mpya na kuhodhi madaraka ya nchi mambo ambayo ni haki ya wananchi kuyadai

Jamaa wamepitia kwenye bonde la mauiti aisee.
Yule mlinzi wa slaa mbowe na genge lake la akina Jacob walifanya nini?

USSR
 
Kusema kwamba haya hayajawahi kuwepo Tanzania hapo kabla, inawezekana huijui vizuri Tanzania au kuna jambo unataka kulisema kwa chuki tu.
All in all, unyama huu haukubaliki japokuwa US ambayo ndiyo inapigiwa mfano wa kulinda haki za binadamu wanayafanya haya na zaidi ya haya kule Gitmo
 
Thank God,ni watu waliopitia mafunzo magumu ya ukomandoo,ingekuwa raia wa kawaida,wameishakufa tayari.
Kuna wale waliomuua mfanyabiashara wa madini Arusha,Msuya,Mmoja aliteswa mpaka akapoteza nguvu za kiume,ikabidi amruhusu mkewe aende akaolewe kwingine.
Ndio ukiuwa kwa panga unauwa kwa panga


USSR
 
magaidi hayo bila kuyafinya unafikiri yangesema ukweli mpaka kumtaja mbowe na alivyowatelekeza wakaamua kumwaga ukweli wacha waozee jela na mbowe mwenyewe jela tuu
Kusema kweli kila tarehe 17 ya mwezi huwa nakunywa wine na nyama choma nikikumbuka mambo makubwa makuu aliyotutendea mungu.

Ile kenge ni kuni ya kuchoma wahalifu wenzake huko iliko.
 
Wanaotakiwa wawape maji ni waliowabambikia kesi. Muwabambikie kesi kisha mtake wengine wawape maji?
makovCu ya watuhumiwa au picha ya makovu ya mtuhumiwa? Afu picha hii umeileta leo baada ya mawakili wenu kuulizwa sababu ya kumpa Mbowe maji peke yake kila siku, huku mkiwatelekeza wenzake aliokamatwa nao. Unafiki ni kitu kibaya sana hapa dunia na ndio maana Mungu anaamua kushusha viboko vyake kwa njia hii tunayoiona mahakamani.
 
Na hapa kama ilivyo ada tunakumbushana, ukitaka kujiunga na jeshi lazima ukaguliwe waone una alama, makovu-asili, tattoo, ulemavu n.k

Itoshe kusema mamlaka za jeshi waliowaandikisha jeshini makomandoo hawa, wanaweza kutakiwa kufika mahakamani ili kuthibitisha walipowakagua kabla ya kukubaliwa kujiunga na jeshi kisha kupelekwa kozi maalum za makomandoo, kama matabibu wa jeshi wanakumbukumbu gani za afya na kama walipata kuziona alama hizi, makovu, majeraha, kuvunjika n.k au la.

Kesi hii inazidi kuvutia shauku za wananchi ili kujua ukweli wa tuhuma wanazokabiliwa nazo washtakiwa hawa 4 ktk kesi hii ya ugaidi.

Toka maktaba :
Amani Temba a.k.a Mh. Temba ‘Tattoo’ hizo ndizo zilimfanya apoteze ajira jeshini licha ya kwamba alikuwa na sifa kochokocho ikiwa ni pamoja na kiwango kizuri cha elimu ya kuanzia na ziada, lakini baada ya kubainika alikuwa na mchoro mmoja tu katika mwili wake, alisimamishwa kazi.
MH TEMBA ASIMULIA ALIVYOFUKUZWA JESHINI KISA TATTOO
 
Baadhi ya Picha za makovu ya watuhumiwa wa Ugaidi wanaoshitakiwa pamoja na Mbowe zimeanza kuonekana hadharani , hawa watu waliteswa kinyama ! Hii nchi haikuwahi kufikia unyama kama huu , tena kwa tuhuma za uzushi zilizojaa uongo mtupu ! kisa ni Kumkomoa Mbowe , Inasikitisha sana !

Tunaomba radhi kwamba hatutaweza kuwaonyesha picha za majeraha yote , kutokana na Maadili ya Kitanzania kwa vile majeraha mengine yako maeneo yasiyoruhusiwa kuwekwa hadharani , bali itoshe tu kusema kwamba KILA ALIYEHUSIKA NA UNYAMA HUU AWE HAI AU AMEKUFA ATALIPA .

View attachment 1946196
Halafu yanakuja mapunguani yanatetea uhayawani wa mwendazake na mapoliccm
 
Back
Top Bottom