Amesahau mabomu ya CHADEMA ya olasiti huyu kiazinyie marafiki na magaidi inamaana na nyinyi ni magaidi wangefanikiwa huo ugaidi wao leo ungeongea hicho kinyesi chako unachoharisha hapa? kaa kimya wacha wale walichokuwa wanapanda washenzi tu hao
Kapuuzi haka kana fikiri kila mtu ni mwehu kama yeyeHakuna kitu kama hicho, weka mezani ushahidi wa hayo mateso, unataka kutueleza hapa wote wenye makovu wameteswa na polisi? kwa nature ya ilokuwa kazi yao wanakisa vipi makovu?
sasa unachobisha ni kipi ?Acha uongo na uzushi unachukua picha za watu wengine unaleta hapa, isitoshe hata gwantanano hakuna alipita bila kubinywa bado mbowe abinywe Sana tu USSR
Ugaidi wa mabomu ya olasiti, kumuuwa regia M na chawangweugaidi wa kukata miti na kuiweka barabarani kuanzia morogoro hadi Mbeya ?
Unakuza kitambi mbowe analiwa na papasiUfungwe wewe, shetwani mkubwa
Mbona sentensi yako inajipinga yenyewe?magaidi hayo bila kuyafinya unafikiri yangesema ukweli mpaka kumtaja mbowe na alivyowatelekeza wakaamua kumwaga ukweli wacha waozee jela na mbowe mwenyewe jela tuu
Yule mlinzi wa slaa mbowe na genge lake la akina Jacob walifanya nini?Tanzania tumefikia hatua ya unyama huu wote kisa Katiba mpya na kuhodhi madaraka ya nchi mambo ambayo ni haki ya wananchi kuyadai
Jamaa wamepitia kwenye bonde la mauiti aisee.
Ndio ukiuwa kwa panga unauwa kwa pangaThank God,ni watu waliopitia mafunzo magumu ya ukomandoo,ingekuwa raia wa kawaida,wameishakufa tayari.
Kuna wale waliomuua mfanyabiashara wa madini Arusha,Msuya,Mmoja aliteswa mpaka akapoteza nguvu za kiume,ikabidi amruhusu mkewe aende akaolewe kwingine.
Zipi hizo weka hapaTaarifa zinaonyesha kwamba msimamizi wa unyama wote huu ni Ramadhan Kingai
na bado watafinywa tuuuHujakosea kujiita boya. Tena Ni boya haswaaaa.
Pumbavu huna akili kabisa.Acha uongo na uzushi unachukua picha za watu wengine unaleta hapa, isitoshe hata gwantanano hakuna alipita bila kubinywa bado mbowe abinywe Sana tu USSR
Nabisha kuleta picha isiyo na ushahidisasa unachobisha ni kipi ?
Kusema kweli kila tarehe 17 ya mwezi huwa nakunywa wine na nyama choma nikikumbuka mambo makubwa makuu aliyotutendea mungu.magaidi hayo bila kuyafinya unafikiri yangesema ukweli mpaka kumtaja mbowe na alivyowatelekeza wakaamua kumwaga ukweli wacha waozee jela na mbowe mwenyewe jela tuu
Mbowe anabwana kule jera unalijua hiloPumbavu huna akili kabisa.
makovCu ya watuhumiwa au picha ya makovu ya mtuhumiwa? Afu picha hii umeileta leo baada ya mawakili wenu kuulizwa sababu ya kumpa Mbowe maji peke yake kila siku, huku mkiwatelekeza wenzake aliokamatwa nao. Unafiki ni kitu kibaya sana hapa dunia na ndio maana Mungu anaamua kushusha viboko vyake kwa njia hii tunayoiona mahakamani.
MH TEMBA ASIMULIA ALIVYOFUKUZWA JESHINI KISA TATTOOAmani Temba a.k.a Mh. Temba ‘Tattoo’ hizo ndizo zilimfanya apoteze ajira jeshini licha ya kwamba alikuwa na sifa kochokocho ikiwa ni pamoja na kiwango kizuri cha elimu ya kuanzia na ziada, lakini baada ya kubainika alikuwa na mchoro mmoja tu katika mwili wake, alisimamishwa kazi.
Halafu yanakuja mapunguani yanatetea uhayawani wa mwendazake na mapoliccmBaadhi ya Picha za makovu ya watuhumiwa wa Ugaidi wanaoshitakiwa pamoja na Mbowe zimeanza kuonekana hadharani , hawa watu waliteswa kinyama ! Hii nchi haikuwahi kufikia unyama kama huu , tena kwa tuhuma za uzushi zilizojaa uongo mtupu ! kisa ni Kumkomoa Mbowe , Inasikitisha sana !
Tunaomba radhi kwamba hatutaweza kuwaonyesha picha za majeraha yote , kutokana na Maadili ya Kitanzania kwa vile majeraha mengine yako maeneo yasiyoruhusiwa kuwekwa hadharani , bali itoshe tu kusema kwamba KILA ALIYEHUSIKA NA UNYAMA HUU AWE HAI AU AMEKUFA ATALIPA .
View attachment 1946196