Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 413
...Utashoot wangapi mazee??mtu akimega mke wangu NIKAPROVE,
i just shoot him,period
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Utashoot wangapi mazee??mtu akimega mke wangu NIKAPROVE,
i just shoot him,period
...Utashoot wangapi mazee??
mtu akimega mke wangu NIKAPROVE,
i just shoot him,period
you can say that againkwanini ucm shoot huyo mkeo?....kumbe mnatupendaga sema bac tu mapepe yenu, ovyo zenu.
wa hiyo una shoot wamegaji wa mkeo unabaki na mke mmegwaji sio?i will shoot them all!
Kama wewe huwa humegi wa wenzio hapo tunaweza kusema ilikuwa hasira.Lakini kama unamega,hauruhusiwi.mtu akimega mke wangu NIKAPROVE,
i just shoot him,period
wa hiyo una shoot wamegaji wa mkeo unabaki na mke mmegwaji sio?
Na mkeo akiPROVE kuwa unamega? ashuti mmegwaji abaki na mme mmegaji
Thus: Mme Mmegaji =????
Mke Mmegwaji
Kama wewe huwa humegi wa wenzio hapo tunaweza kusema ilikuwa hasira.Lakini kama unamega,hauruhusiwi.
Unafanya kazi pamoja na mke wa Bosi , mara kwa anakukueleza how much she want your body ,ukawa unarusha na kutowa vijisababu , siku moja mupo ofisini peke yenu akakuvamia maungoni katika purukushani za huku na kule umemuweka alama katika mwili wake na nguo imechanika na hilo ndio lilkuwa kusudia lake baada ya hapo akakwambia(kukueleza) leo unifanye au nitasema umenibaka kwa nguvu ,Jee nini utakuwa uwamuzi wako?
Kwana big up kwa kuwa mwaminifu,endelea hivyo hivyo.Lakini hiyo sentensi ya pili mhh? inawalakini na hapo ndio mfumo dume huwa unaanza.Na ndio maana kuna vyama kama TAMWA kwa ajili ya mambo kama hayo.mimi huwa simegi.
lakini hata nikimega haruhusiwi kuhoji
hivi mnajua kama mwanamme anaweza kubakwa? na kesi ikaendeshwa kisheria?
Mh hebu tuabarishe kidogo hapo kwenye kubakwa kwa mwanaume mi nilikua najua ni kwa kijana chini ya miaka 18! tupe vifungu mamie tuanze kuvitumia!hivi mnajua kama mwanamme anaweza kubakwa? na kesi ikaendeshwa kisheria?
I see! Tafadhali kama kuna mwanamke anabaka, tell her Chrispin is here ready to be raped! Hahaha! Mbona itakuwa burudani?
Njoo
mimi hata n ikimega nje,mke wangu hawezi kujua.na hata akijua,hana authority juu ya hilo tukio,ni kwamba tunaweza kuongea tukalimaliza,NA ANAJUA HILO.that's human nature
....lakini yeye AKIMEGWa!OOH dear god....!ni topic nyingine kabisa
Darling umechanganyikiwa nini? nitakasirika sasa hivi! Naomba utoke huko bar counter naona kunakuchanganya!I see! Tafadhali kama kuna mwanamke anabaka, tell her Chrispin is here ready to be raped! Hahaha! Mbona itakuwa burudani?
Unafanya kazi pamoja na mke wa Bosi , mara kwa anakukueleza how much she want your body ,ukawa unarusha na kutowa vijisababu , siku moja mupo ofisini peke yenu akakuvamia maungoni katika purukushani za huku na kule umemuweka alama katika mwili wake na nguo imechanika na hilo ndio lilkuwa kusudia lake baada ya hapo akakwambia(kukueleza) leo unifanye au nitasema umenibaka kwa nguvu ,Jee nini utakuwa uwamuzi wako?