Mathalan umekutokea mtihani kama huu utafanya mamuzi gani?

Mathalan umekutokea mtihani kama huu utafanya mamuzi gani?

hivi mnajua kama mwanamme anaweza kubakwa? na kesi ikaendeshwa kisheria?
 
i will shoot them all!
wa hiyo una shoot wamegaji wa mkeo unabaki na mke mmegwaji sio?
Na mkeo akiPROVE kuwa unamega? ashuti mmegwaji abaki na mme mmegaji

Thus: Mme Mmegaji =????
Mke Mmegwaji
 
wa hiyo una shoot wamegaji wa mkeo unabaki na mke mmegwaji sio?
Na mkeo akiPROVE kuwa unamega? ashuti mmegwaji abaki na mme mmegaji

Thus: Mme Mmegaji =????
Mke Mmegwaji

mimi hata n ikimega nje,mke wangu hawezi kujua.na hata akijua,hana authority juu ya hilo tukio,ni kwamba tunaweza kuongea tukalimaliza,NA ANAJUA HILO.that's human nature

....lakini yeye AKIMEGWa!OOH dear god....!ni topic nyingine kabisa
 
Unafanya kazi pamoja na mke wa Bosi , mara kwa anakukueleza how much she want your body ,ukawa unarusha na kutowa vijisababu , siku moja mupo ofisini peke yenu akakuvamia maungoni katika purukushani za huku na kule umemuweka alama katika mwili wake na nguo imechanika na hilo ndio lilkuwa kusudia lake baada ya hapo akakwambia(kukueleza) leo unifanye au nitasema umenibaka kwa nguvu ,Jee nini utakuwa uwamuzi wako?

mimi natamani kuwa malaika!!!!!!!!
 
mimi huwa simegi.
lakini hata nikimega haruhusiwi kuhoji
Kwana big up kwa kuwa mwaminifu,endelea hivyo hivyo.Lakini hiyo sentensi ya pili mhh? inawalakini na hapo ndio mfumo dume huwa unaanza.Na ndio maana kuna vyama kama TAMWA kwa ajili ya mambo kama hayo.
 
hivi mnajua kama mwanamme anaweza kubakwa? na kesi ikaendeshwa kisheria?

I see! Tafadhali kama kuna mwanamke anabaka, tell her Chrispin is here ready to be raped! Hahaha! Mbona itakuwa burudani?
 
Mwanaume ni dhaifu ktk situation kama hiyo, na inategemea sana huyo mke wa Boss yukoje, km ni mama anayevutia aliyejaliwa km FL1 hivi mmmh jamani patakuwa pagumu sana. all in all kwanza kwa nini mpaka mkwaruzane mfikie hatua ya kuchaniana nguo? akijifanya kukupenda sana kuwa mwana saikolojia, akikufuata hivyo onyesha ushirikiano, jifanye ulimmind siku nyingi sana sasa leo ni bahati, mfanye ajione unakubaliana na lile tendo, mwambie akae tayari pale atakapokuwa anajitayarisha kwa zile sekunde unaweza ukachomoka huko.
 
hivi mnajua kama mwanamme anaweza kubakwa? na kesi ikaendeshwa kisheria?
Mh hebu tuabarishe kidogo hapo kwenye kubakwa kwa mwanaume mi nilikua najua ni kwa kijana chini ya miaka 18! tupe vifungu mamie tuanze kuvitumia!
 
mwanaume hawezi kubakwa!HILO SITAKAA NILIKUBALI CHINI YA JUA
 
mimi hata n ikimega nje,mke wangu hawezi kujua.na hata akijua,hana authority juu ya hilo tukio,ni kwamba tunaweza kuongea tukalimaliza,NA ANAJUA HILO.that's human nature

....lakini yeye AKIMEGWa!OOH dear god....!ni topic nyingine kabisa


ungejua dosari inayoweka/tokea akijua ukweli ungesema hivyo, nina frnd wangu kipenzi na yeye alikuwa anamwamini/mjali mr wake sana, cku ya cku alivyo prove kachezewa rafu yeye sasa hivi hakamatiki kwa rafu, anasema ile kitu ilimuumiza roho sana na dawa yake ni na yeye awe na mtu wake pembeni, sasa u know what hana mipango ya maendeleo tena na mumewe, huku kashapata mume wa mtu ndio wanafanya mikakati nae, kajengewa huko boko nyumba nzuri ya maana, juzi kaja mombasa kupokea gari na mambo kibao, alikuwa hana huo mpango wa kutoka nje ya ndoa yake lakini ilimlazimu, ndicho hicho mnakitaka? mbaya zaidi anasema anazaa nae, hakuna mtu anaeweza kubadili akili ya huyu frnd wangu kwasasa.
 
I see! Tafadhali kama kuna mwanamke anabaka, tell her Chrispin is here ready to be raped! Hahaha! Mbona itakuwa burudani?
Darling umechanganyikiwa nini? nitakasirika sasa hivi! Naomba utoke huko bar counter naona kunakuchanganya!
 
Unafanya kazi pamoja na mke wa Bosi , mara kwa anakukueleza how much she want your body ,ukawa unarusha na kutowa vijisababu , siku moja mupo ofisini peke yenu akakuvamia maungoni katika purukushani za huku na kule umemuweka alama katika mwili wake na nguo imechanika na hilo ndio lilkuwa kusudia lake baada ya hapo akakwambia(kukueleza) leo unifanye au nitasema umenibaka kwa nguvu ,Jee nini utakuwa uwamuzi wako?

Chukua camera au simu yenye camera ieke dizaini sampuli ya kurekodi video kwamba ulilazimishwa kufanywa iwe kama ushahidi incase mambo yakiharibika huko mbele unaeza kujitetea.hakikisha huyo mama haioni.
 
Back
Top Bottom