joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Ngoja niitafuteAmeen huko ni hatari kwenye makala ya BBC huko kuna vibaka hatari sana wana ua yule askari ana itwa Rashid ana fanya kazi ngumu kuwa dhibiti..Mathare imepakana na Isili kwa Wasomali wana waibia wasomali kwa kuua au kuwa choma kisu ukipata mda itafute hiyo makala una weza lia
Itafute umo ndani polisi wameua RAIA mia nane kwa miaka miwili ndio kiwango kikubwa dunianiNgoja niitafute
Kumbe kenya ni watu wa hovyo sanaItafute umo ndani polisi wameua RAIA mia nane kwa miaka miwili ndio kiwango kikubwa duniani
Wacha ujinga ,si utafute zile za Tandale , Manzese na slums nyingine ziko dakika chache tu kutoka Dar CBD ?Ngoja niitafute
Tanzania hakuna slum's Kenya zipo NNE ambazo ni kubwa dunianiWacha ujinga ,si utafute zile za Tandale , Manzese na slums nyingine ziko dakika chache tu kutoka Dar CBD ?
Aisee Kenya ni nchi ya hovyo sana katika kila eneo, hata wakenya wenyewe wanalijua hilo. Tatizo kubwa ni uwezo mdogo wa akili, hawa jamaa uwezo wao wa kufikiria ni mdogo sanaa.Kumbe kenya ni watu wa hovyo sana
Itafute umo ndani polisi wameua RAIA mia nane kwa miaka miwili ndio kiwango kikubwa duniani
Dah, taratibu mkuuAisee Kenya ni nchi ya hovyo sana katika kila eneo, hata wakenya wenyewe wanalijua hilo. Tatizo kubwa ni uwezo mdogo wa akili, hawa jamaa uwezo wao wa kufikiria ni mdogo sanaa.
The exaggerated numbers are just a marketing ploy to raise money which has been a big business in these slums. One of the key reasons they can,t end. How can mathare slum which is at most 1 km2 have 800000 people.????????
Wakati wengi mkiwahurumia wakati wa Kibera, mumesahau kwamba kuna mdogo wake yupo katika hali mbaya kuliko Kibera. Ninawaomba japo dakika moja tusimame kimya kuikumbuka "Mathare slums camp"..........Amen.
Give us the correct number, does it matter really?The exaggerated numbers are just a marketing ploy to raise money which has been a big business in these slums. One of the key reasons they can,t end. How can mathare slum which is at most 1 km2 have 800000 people.????????
Wacha ujinga ,si utafute zile za Tandale , Manzese na slums nyingine ziko dakika chache tu kutoka Dar CBD ?
Dah bro inatoa machozi hii video.
Wakati wengi mkiwahurumia wakati wa Kibera, mumesahau kwamba kuna mdogo wake yupo katika hali mbaya kuliko Kibera. Ninawaomba japo dakika moja tusimame kimya kuikumbuka "Mathare slums camp"..........Amen.
Weeee maisha ya Tandale sio mabovu hvyo.Wacha ujinga ,si utafute zile za Tandale , Manzese na slums nyingine ziko dakika chache tu kutoka Dar CBD ?
You do realize what you call a town equates to a Kenyan slum.Tanzania hakuna slum's Kenya zipo NNE ambazo ni kubwa duniani
So?You do realize what you call a town equates to a Kenyan slum.
Like most of Tanga and much of Southern Dar??
Taja sehemu moja huko Southern Dar iliyo kama Mathare!! Unakujua, au unasikia tu kwamba Southern Dar ndie eneo lenye watu maskini zaidi?!You do realize what you call a town equates to a Kenyan slum.
Like most of Tanga and much of Southern Dar??