Matheo Antony aupasua ukuta wa umeme wa Simba

Soloma TV Online

Senior Member
Joined
Jun 26, 2023
Posts
104
Reaction score
291
Mchezaji wa Mtibwa Matheo Anthony kachungulia makosa ya Ukuta wa Simba na kubaini makosa yake na hapo hakufanya makosa alitokea na kuupasuapasua vipande japo ni wa Umeme.

Pamoja na Ushindi walioupata Simba huyu ndiye aliyeutia doa kwa kutupia magoli yote mawili. Na kufanya kuwa mpaka mwisho wa mchezo >>>>> Mtibwa 2 - 4 Simba
 
Electrical fance (Ukuta wa Yericko) umetobolewa kirahisi sana.

Goli mbili za faster kutoka kwa "Mathew" moja likitokea kwa Mohammed Husen na lingine likitoka kwa "che Malon" beki anayesifika Kama Ukuta wa Yericko lakini kachoma kizembe sana.

Je, kwa mwendo huu Simba sc itafika nchi ya Makombe na kuleta furaha kwa wanasimba?
 
Kama mdaka mishale anatobolewaga na kina Kibu dee kina Inonga na bado leo mnamuona shupavu itakua kwa beki Mwamnyeto?.
 
Hakuna kilichopasuka..goli la kwanza ni uzembe tuu kwa kujiamini kupitiliza..goli la pili nalo beki zote zilipanda juu hazikuwepo golini.
 
MWAMNYETO NI NANI HAKUNA BEKI PALE WA KUSHINDANA NA UKUTA WA YERIKO
 
Malone anakuhusu nn wew changudoa?

Huna Cha kuandika kuhusu utopolo yako?

Tuache na Simba yetu kashabikie hiyo yako unayoipenda. Simba inakuhusu nn wee dada!

Oaks shine! Kazi kujamba tu hadharani, kutawaza hutawazi!

Nyau mkybwa!
 
Mtibwa Ni bora kuliko Utopolo. Ndiyo maana wameweza kupata goli mbele ya Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…