Mzuka wanajamvi!
Houseboy wa Mhamasishaji, mchekeshaji, mwandishi wa habari na msomi mashuhuri nchini DC Mwijaku anayeitwa Mathias ndiye Houseboy pekee anayeongoza kwa maisha bora Tanzania.
Kajengewa kabisa kaghorofa severnt quarter pembeni ya jumba la 1.3 billion.
Anaishi utadhani siyo houseboy.
Wengi wanamsifia licha ya maisha mazuri aliyo nayo hana shobo za kindezi kujionesha onesha hata boss wake mwijaku akimpiga video. Anaficha sura.
Pia ni mwaminifu hata mwijaku akisafiri mwezi mzima na kumuacha na familia yake yani jamaa kama Joseph wa kwenye Biblia.
Mathias the richest houseboy in Tanzania.
Houseboy wa Mhamasishaji, mchekeshaji, mwandishi wa habari na msomi mashuhuri nchini DC Mwijaku anayeitwa Mathias ndiye Houseboy pekee anayeongoza kwa maisha bora Tanzania.
Kajengewa kabisa kaghorofa severnt quarter pembeni ya jumba la 1.3 billion.
Anaishi utadhani siyo houseboy.
Wengi wanamsifia licha ya maisha mazuri aliyo nayo hana shobo za kindezi kujionesha onesha hata boss wake mwijaku akimpiga video. Anaficha sura.
Pia ni mwaminifu hata mwijaku akisafiri mwezi mzima na kumuacha na familia yake yani jamaa kama Joseph wa kwenye Biblia.
Mathias the richest houseboy in Tanzania.